Viongozi wa Wizara ya Afya punguzeni kwenda kwenye media, itawaharibia

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Ni masikitiko yangu makubwa kuona Viongozi wa wizara ya afya kutwa wakishinda kwenye media /mtandaoni.

Tabia hii inaabisha hadhi ya wizara na fani ya udaktari.ACHENI. Nendeni kwenye media mkiwa na Genuine Issue

Natambua Waziri wa Afya anapitia kipindi kigumu dhidi ya walio chini yake wanaostruggle kumuangusha lakini hii isiwe sababu ya kuwa desparate na kuanza kuhaha kwenye media. Tulia uitendee haki wizara kwa kuwa una uwezo huo (au umepigwa kipapai cha sumbawanga?)

Naibu waziri Molel Acha kujishindanisha na Waziri, yaani waziri akitoa tamko na wewe unatoa ...!!Ebo Uwaziri hautafutwi hivyo bana!!Stop making fake scandals and victimising Facility Incharges tena in the middle of the Pandemic...acha kuonea watu wanaopambana usiku na mchana ili upate political mileage.

So far mnatakiwa kuwa mmetuletea muswada wa bima ya afya kwa wote.

Mkurugenzi wa tiba sio kila jambo lako liende Insta kwani wateja wako wapo field namaanisha vituoni .

let your work prevail and not your image.

Bottom line hii wizara hebu tulizeni mshono mchape kazi kwa umoja na upendo.

#Mtanikumbuka kwa kuwaambia ukweli
 
Huyu waziri hafai hafai kabisa kuiongoza hiyo wizara huyu na mwigulu nchemba ni mawazili wajinga Sana dah yani hii nchi hii wajinga ni wengi sana.
Anafaa ila nahisi wamempiga tukio na wanamsumbua sana hao vijeba waliopo chini yake na anawahurumia sana.
 
Huyu waziri hafai hafai kabisa kuiongoza hiyo wizara huyu na mwigulu nchemba ni mawazili wajinga Sana dah yani hii nchi hii wajinga ni wengi sana.
Comedian,hana utulivu kama kiongozi.
Wasaidizi wake muwe mnamshauri hata kwenye mavazi ya viongozi.
Mavazi yenye matambara ya ranging za ajabuajabu ni mitindo ya MC na MDJ wa vijijini
 
Kuna thread humu nilimuona anasoma kurasa za magazeti na Zembwela wa wasafi fm🤣
 
We jamaa mbona unataka viongozi wafanye mambo kwa siri. .unaficha nini. .mi nadhan nibira wawe wawazi ili kuondoa shuku kwa wananchi. .sekta ya afya ni very sensitive..ninacho shauri wasitishe wananchi. .tuwe na spirit ileile ya mwendazake, tukienda tofauti tu tutapotea. .tutapotea tutaanza kuji lock down. .
 
Mmh!

Wasipofanya hivyo IMF awatoi pesa au ulijuhi hilo mkuu?
 
Ni masikitiko yangu makubwa kuona Viongozi wa wizara ya afya kutwa wakishinda kwenye media /mtandaoni.

Tabia hii inaabisha hadhi ya wizara na fani ya udaktari.ACHENI. Nendeni kwenye media mkiwa na Genuine Issue

Natambua Waziri wa Afya anapitia kipindi kigumu dhidi ya walio chini yake wanaostruggle kumuangusha lakini hii isiwe sababu ya kuwa desparate na kuanza kuhaha kwenye media. Tulia uitendee haki wizara kwa kuwa una uwezo huo (au umepigwa kipapai cha sumbawanga?)

Naibu waziri Molel Acha kujishindanisha na Waziri, yaani waziri akitoa tamko na wewe unatoa ...!!Ebo Uwaziri hautafutwi hivyo bana!!Stop making fake scandals and victimising Facility Incharges tena in the middle of the Pandemic...acha kuonea watu wanaopambana usiku na mchana ili upate political mileage.

So far mnatakiwa kuwa mmetuletea muswada wa bima ya afya kwa wote.

Mkurugenzi wa tiba sio kila jambo lako liende Insta kwani wateja wako wapo field namaanisha vituoni .

let your work prevail and not your image.

Bottom line hii wizara hebu tulizeni mshono mchape kazi kwa umoja na upendo.

#Mtanikumbuka kwa kuwaambia ukweli
Molel hata usoni tu ukimuangalia utaona anafile kule alikosema Dialo
 
Ni masikitiko yangu makubwa kuona Viongozi wa wizara ya afya kutwa wakishinda kwenye media /mtandaoni.

Tabia hii inaabisha hadhi ya wizara na fani ya udaktari.ACHENI. Nendeni kwenye media mkiwa na Genuine Issue

Natambua Waziri wa Afya anapitia kipindi kigumu dhidi ya walio chini yake wanaostruggle kumuangusha lakini hii isiwe sababu ya kuwa desparate na kuanza kuhaha kwenye media. Tulia uitendee haki wizara kwa kuwa una uwezo huo (au umepigwa kipapai cha sumbawanga?)

Naibu waziri Molel Acha kujishindanisha na Waziri, yaani waziri akitoa tamko na wewe unatoa ...!!Ebo Uwaziri hautafutwi hivyo bana!!Stop making fake scandals and victimising Facility Incharges tena in the middle of the Pandemic...acha kuonea watu wanaopambana usiku na mchana ili upate political mileage.

So far mnatakiwa kuwa mmetuletea muswada wa bima ya afya kwa wote.

Mkurugenzi wa tiba sio kila jambo lako liende Insta kwani wateja wako wapo field namaanisha vituoni .

let your work prevail and not your image.

Bottom line hii wizara hebu tulizeni mshono mchape kazi kwa umoja na upendo.

#Mtanikumbuka kwa kuwaambia ukweli
Sema hivi media zifungiwe kwakuwa zinaibua madudu yenu.turudi enzi zile.
 
Ni masikitiko yangu makubwa kuona Viongozi wa wizara ya afya kutwa wakishinda kwenye media /mtandaoni.

Tabia hii inaabisha hadhi ya wizara na fani ya udaktari.ACHENI. Nendeni kwenye media mkiwa na Genuine Issue

Natambua Waziri wa Afya anapitia kipindi kigumu dhidi ya walio chini yake wanaostruggle kumuangusha lakini hii isiwe sababu ya kuwa desparate na kuanza kuhaha kwenye media. Tulia uitendee haki wizara kwa kuwa una uwezo huo (au umepigwa kipapai cha sumbawanga?)

Naibu waziri Molel Acha kujishindanisha na Waziri, yaani waziri akitoa tamko na wewe unatoa ...!!Ebo Uwaziri hautafutwi hivyo bana!!Stop making fake scandals and victimising Facility Incharges tena in the middle of the Pandemic...acha kuonea watu wanaopambana usiku na mchana ili upate political mileage.

So far mnatakiwa kuwa mmetuletea muswada wa bima ya afya kwa wote.

Mkurugenzi wa tiba sio kila jambo lako liende Insta kwani wateja wako wapo field namaanisha vituoni .

let your work prevail and not your image.

Bottom line hii wizara hebu tulizeni mshono mchape kazi kwa umoja na upendo.

#Mtanikumbuka kwa kuwaambia ukweli
Hakuna majizi ya kura yenye jipya.
 
Back
Top Bottom