Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Pamoja na ukweli gazeti la Uhuru siyo kipenzi cha wana-JF lakini ukweli unabaki palepale kuwa kwa vile lipo mtaani habari zake yapaswa kuripotiwa na kutathminiwa kwa manufaa ya wengi.............................
Uhuru la leo linaripoti ya kuwa mambo si shwari ndani ya UWT-Arusha baada ya tuhuma za kuchakachua kwa viti maalumu udiwani kushika moto na kuwagawa akina mama hao wa CCM........................au niseme wa Chama Cha Mafisadi?
Uhuru la leo linaripoti ya kuwa mambo si shwari ndani ya UWT-Arusha baada ya tuhuma za kuchakachua kwa viti maalumu udiwani kushika moto na kuwagawa akina mama hao wa CCM........................au niseme wa Chama Cha Mafisadi?