HIVI KWA NINI HAWANYONGWI????! halafu kiswahili chenyewe nacho butu, tuachwa tupumu'we'!!! HIVI WANA MAANA GANI?? AU NDIO MAANA YA KUJITOA KWENYE MUUNGANO?? yaani kutokwenda shule ni mzigo mkubwa sana!!! sijui nani aliwaroga watu hawa??
account ya Tigo pesa tutaileta sasa hivi ili muchangie uamsho na harakati zake japo askari alikufa zanzibar kwa kuchinjwa lakini changieni tu uamsho
kutoka page yao ya facebook.
"TUPO MAHAKAMANI HAPA............ Ndugu Wakiisalamu.
Assalama Aleykum W.W Hapa Tupo mahakama ya Mwanakwerekwe
tunawasubiri viongozi wetu waletwe hapa.ili
tusikilize hiyo kesi na tuweze kuwachukulia
dhamana.
Ila kwa kumujibu wa wakili wetu anasema
wanashtakiwa kwa kuchochoe vurugu zanzibar. Tunaombwa waislamu tuje kwa wingi na Tuje na
vitambulisho vyetu vya Mzanzibar ikiwa vitahitajika
kuchukua dhamana.
Vile vile tunaombwa Waislamu tuchangie harakati
hizi kwani ukiachia viongozi kuna watu wengine
walokamatwa wanafika 60 wote wanahitaji msaada wetu hiyo basi baada ya muda mfupi tutaweka
acount yetu ya Tigo Pesa iliuweze kuchangia jitihada
hizi. Kwa wale ambao hawatumii huduma hii wanaweza
kuchangia kwa kupeleka mchango wao mskiti wa
mbuyuni kwa Imamu. WABILAHI TAUFIQ
TUACHIWEE......TUPUMUWEE..."
hakuna kitu kibaya kama kukosa elimu!! Nitawapiga wanangu mpaka niwatengue viuno, when it kams to education!!leo ni jumatatu siku ya kazi,sasa hao wanaambiwa wakusanyike kwa wingi ina maana hawana kazi? Naomba kujua
mkuu unaendeleaje???
Kumbe!!.....kutoka page yao ya facebook.
"TUPO MAHAKAMANI HAPA............ Ndugu Wakiisalamu.
Assalama Aleykum W.W Hapa Tupo mahakama ya Mwanakwerekwe
tunawasubiri viongozi wetu waletwe hapa.ili
tusikilize hiyo kesi na tuweze kuwachukulia
dhamana.
Ila kwa kumujibu wa wakili wetu anasema
wanashtakiwa kwa kuchochoe vurugu zanzibar. Tunaombwa waislamu tuje kwa wingi na Tuje na
vitambulisho vyetu vya Mzanzibar ikiwa vitahitajika
kuchukua dhamana.
Vile vile tunaombwa Waislamu tuchangie harakati
hizi kwani ukiachia viongozi kuna watu wengine
walokamatwa wanafika 60 wote wanahitaji msaada wetu hiyo basi baada ya muda mfupi tutaweka
acount yetu ya Tigo Pesa iliuweze kuchangia jitihada
hizi. Kwa wale ambao hawatumii huduma hii wanaweza
kuchangia kwa kupeleka mchango wao mskiti wa
mbuyuni kwa Imamu. WABILAHI TAUFIQ
TUACHIWEE......TUPUMUWEE..."
Na mm nlikuwa nataka kumuuliza kama keshapona?
Taarifa ya moja kwa moja kutoka Star Tv, imesema viongozi wa Uamsho wapatao kumi hivi wamefikishwa mahakamani huko Zanzbar..!
Wakiandamana dawa yao mabomu!...watabana wataachia.wafuasi wao hawataandamana tena kuishinikiza serikali iwafutie viongozi wao mashtaka kweli?