YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Viongozi wa makanisa ya kipentecoste hamishieni vyuo vya Biblia porini vijijini hivi vya mijini wakimaliza hawarudi vijijini kwao kufanya kazi ya Mungu wanabaki mijini
Pia wapeni masharti wanafunzi wapya kuwa hawatapewa uchungaji hadi wafungue matawi vijijini wachunge si chini ya miaka mitatu ndipo wapewe uchungaji
Sasa hivi kuna upungufu vijijini wakati mijini kuna excess
Pia wapeni masharti wanafunzi wapya kuwa hawatapewa uchungaji hadi wafungue matawi vijijini wachunge si chini ya miaka mitatu ndipo wapewe uchungaji
Sasa hivi kuna upungufu vijijini wakati mijini kuna excess