rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Viongozi wa dini nchini, wamesema kuwa watasimama kidete kuhakikisha wanaunga mkono umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) kwa ajili ya kuhakikisha inapatikana katiba mpya.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Mbinga mkoani Ruvuma, Mwenyekiti wa taasisi za dini za Kiislaamu nchini, Rajab Katimba, amesema viongozi wa dini kwa pamoja wamewapa baraka viongozi wa UKAWA, ili kuhakikisha inapatikana katiba ya muundo wa serikali tatu, kama wananchi walivyopendekeza, katika rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Jaji Joseph Warioba.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Mbinga mkoani Ruvuma, Mwenyekiti wa taasisi za dini za Kiislaamu nchini, Rajab Katimba, amesema viongozi wa dini kwa pamoja wamewapa baraka viongozi wa UKAWA, ili kuhakikisha inapatikana katiba ya muundo wa serikali tatu, kama wananchi walivyopendekeza, katika rasimu iliyowasilishwa bungeni na Tume ya Jaji Joseph Warioba.