Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Hao ni chadema wenyewe kwa wenyewe,wanataka ccm waonekane watu wa vurugu kama wao! To hell with chadema
kwa hiyo hao polis wanataka kuwageuzia kibao chadema kuwa ndo wamepiga risasi hewan?
hivi polisi wana akli kweli??
Hao ni chadema wenyewe kwa wenyewe,wanataka ccm waonekane watu wa vurugu kama wao! To hell with chadema
Naomba uwasiliane na Mukama akupatie orodha ya "makomandoo 33!"
Green guard njaa,unaweza kukuta walipewa buku 2 tu hao
mkuu, nanyaro, hujaliweka hili saga vizuri.
Kama upo busy, basi tafuta muda uweke saga hili kwa mtiririko mzuri kama member mmoja alivyoshauri.
kama vipi wasiliana na GR au Crashwise umpe issue kwa simu then aiweke vizuri wkati wewe ukiendelea na mihangaiko mingine!!
one more thing: polisi walimsachi Waitara, walikuwa na search warrant?? au walivamia chumbani kwake na kupekua tu??
Wakuu ni hivi,mie nipo kwenye eneo la tukio,ccm wakiongozwa na Aish mbunge wa sumbawanga na Ester Bulaya,walifika kwenye hotel tuliofikia,wakiwa kwenye magari mawili,na kuamuru vijana wao wachome moto mafuso mawili ya Chadema ya PA,makamanda wetu wakawadhibiti mapema,ndipo gari yao moja ikakimbia na moja aliyokuwepo Aishi tukaidhibiti,akaanza kupiga risasi,tukamdhibiti,polisi wakaja na wakatoa maelezo yao polisi
Kwa mshangao mkubwa ambao tunaamini kuwa ni shinikizo polisi wakasema wana taarifa kuwa Waitara ambaye ni mkuu wa oparesheni wa Chadema ana silaha ndani,polisi wamechunguza chumbani na hawakukuta silaha yoyote,Kwa sasa Waitara anaandika maelezo polisi
Aishi mwenye silaha na ambaye ameitumia yupo mitaani.
Mtakumbuka wiki moja nyuma nilisema kuwa tumenasa waraka wa cm unaokiri kushindwa hivyo wakakubaliana njia pekee iliyobaki ni kutumia dola
Pamoja na hayo yote makamanda tupo IMARA,na tunasonga mbele,hatulali hadi kieleweke
Miaka yote CCM inatuongoza haijawahi kumwaga damu.
Hawa CDM ndio wanahamasisha uwagaji damu.
\Kwa hali iliyo sasa CCM itadumu milele. Wanaojiita wapinzani hawana sera! Sera zao ni za msimu. Mfano Padri Slaa, alijichukulia umaarufu kwa suala la ufisadi. Sasa hivi hana tena tena kipya cha kuongea, na tayari anapotea kwenye ulimwengu wa siasa
Wana jamii nimepigiwa simu na mmoja wa wana igunga akinijulisha kuvamiwa kambi wlipofikia Chadema ambapo vurugu ilitokea na mbunge wa Sumbawanga Aishi kufyatua risasi. Polisi wamewakamata na kuuwachia haraka na kujaribu kugeuzia kibao kwa CDM.
Hii ni hatari baada ya Rage kuonyesha silaha juzi leo zimeanza kutumika sijui itakuwaje kwa muda uliobaki wa kampeni. Nimepitia kidogo sheria za tume ya uchaguzi zinazuia kuwepo silaha kwenye kampeni isipokuwa tu kwa vyombo vya dola.
Naomba waandishi wa habari wawe wakali sasa kukemea haya kwa manfaa ya Taifa na wasikubali kurubuniwa. Pili mwenyekiti wa tume ya uchaguzi atumie rungu la sheria za uchaguzi kuadhibu kwanza chama kile kilichoonyesha na kuwa na silaha kwenye kampeni yake (CCM). Tatu Nape atuambie wana bastola ngapi kwenye kampeni hii ya Igunga na zinawalenga nani hasa? Mukama nae atuambie watanzania watumiaji wake wamepata mafunzo wapi?
Wale vijana wa ccm waliopata mafunzo haramu mkoani singida,wakiwa na VX mbili za Ccm wamevamia hotel walipo makamanda wa Chadema.Uvamizi uliokuwa na lengo la kuwajeruhi makamanda na pia kuchoma moto fuso mbili za matangazo(PA)
Jaribio hili ovu limeshindwa vibaya,kwani vijana wetu waliwakamata na kuwadhibiti kisha kuwapeleka polisi,kwa sasa tupo kituoni,ntaendelea kuwajuza
Kati ya waalifu natumai mjamvua kanzu or kibarakashee c unajua hawakawii wale watu.Wale vijana wa ccm waliopata mafunzo haramu mkoani singida,wakiwa na VX mbili za Ccm wamevamia hotel walipo makamanda wa Chadema.Uvamizi uliokuwa na lengo la kuwajeruhi makamanda na pia kuchoma moto fuso mbili za matangazo(PA)
Jaribio hili ovu limeshindwa vibaya,kwani vijana wetu waliwakamata na kuwadhibiti kisha kuwapeleka polisi,kwa sasa tupo kituoni,ntaendelea kuwajuza