Viongozi wa CHADEMA Arusha warudisha kadi

Viongozi wa CHADEMA Arusha warudisha kadi

Walitaka katibu atoke uchagani? then watu wengine waseme ni chama cha wachaga?.
 
Sio hao tu ni haki ya yeyote kuchagua kule ambako utashi wake unamwongoza, hata kama anafuata buku sabs
 
tatizo la watu wa kaskazini ni ubinafsi yani walitaka ateuliwe mwenzao. duh....
 
Mbona huyo mwenye draft amelegea au kitu kimepanda..
 
Hesabu za ZUZU..,siku moja zuzu alikuwa yuko safarini akafika katika mji, akawekewa sahani mbili za chakula, moja ina sumu nyingine haina. Akaambiwa ukila sahani hii ina sumu utashiba kwa sababu chakula hiki ni kingi lakini utakufa baada ya muda mfupi, na sahani hii nyingine haina chakula cha kutosha hautoshiba ila utaweza kuendelea na safari..ZUZU akatabasamu, akasema nipeni chakula kingi nile nishibe..akala na kuendelea na safari yake lakini alikufa mita chache kabla hajafika mwisho wa safari..

Sijui umenielewa..!!
tehteh
 
Technique za ccm za kizamani hiziiiii
mpinzani wa kweli hawez kwenda chama hata sku moja,...angeenda act ningejua huyu ni mpinzani ila ccm,...hapo hamna kitu,............mashinji ni jembe imara ngojeni muone kasi yaKE mtamkubali
 

Attachments

  • 12801701_971253456291791_7579653282766006995_n.jpg
    12801701_971253456291791_7579653282766006995_n.jpg
    31.2 KB · Views: 43
Ila ki ukweli ukitaka upate katibu mwingine kama Dr Slaa kwa Chadema huwezi kupata labda kidogo angekuwepo Zitto . Tukubali huo ukweli kwamba Mbowe ameshampoteza mtu muhimu lazima aanze kujenga upya.
Wewe msaliti tu! Nani kakwambia kuwa Dr. Slaa alikuwa katibu bora? Tumepata katibu msomi kuliko makatibu wa vyama vyote duniani wewe unatuambia habari za Dr. Slaa
 
Kulishawahi kuwepo tapeli humu JF kwa jina la kotomari kama sikosei.
 
Ila ki ukweli ukitaka upate katibu mwingine kama Dr Slaa kwa Chadema huwezi kupata labda kidogo angekuwepo Zitto . Tukubali huo ukweli kwamba Mbowe ameshampoteza mtu muhimu lazima aanze kujenga upya.
Ni aliyekuwa mtu muhimu KAJIPOTEZA...hakuna muhimu zaidi ya chama bro take care hamuwez kusema katibu mbovu wakati hajafanya kaz hata siku moja subraaa
 
Ila ki ukweli ukitaka upate katibu mwingine kama Dr Slaa kwa Chadema huwezi kupata labda kidogo angekuwepo Zitto . Tukubali huo ukweli kwamba Mbowe ameshampoteza mtu muhimu lazima aanze kujenga upya.
Mawazo mgando haya ndio nyie ambao kila siku mnalalamika kwamba baba angekuwepo ningekuwa na maisha mazuri,yote hiyo ni Kwa sababu ya utegemezi tafuta mawazo mbadala ya kukukwamua hapo ulipo huyo ndio uanaume
 
Acha uzuzu, kwani CCM bado wapo ARUSHA?
 
Back
Top Bottom