GEDLUV B.M
Member
- Nov 21, 2011
- 15
- 4
Mbna wa CUF ni mmoja tu?!! Wako wapi NCCR & NLD?!!!
Wote wakutanao wametoka CCm kasoro Freeman Mbowe! Chadema asili wako wapi?
Kingunge,Lowassa, Seif na Baregu
NCCR na NLD ni wa CUF?Mbna wa CUF ni mmoja tu?!! Wako wapi NCCR & NLD?!!!
Siyo kila kitu unaweza ambiwa weweMbna wa CUF ni mmoja tu?!! Wako wapi NCCR & NLD?!!!
Kweli mkuu inauma Sana yaani mzee kama lowasa kashakula hela za kutosha ila bado machagadema wanamwona luluEti busara iwatale!! Genge la wazee ambao wanapokea mafao yao wamechoka hawa basi tuu kwakua akili yetu na sisi watanzania ni style ya lowasa, kingunge na mbowe tunakubali kuingia kwenye hii genge na namba moja wanaoturudisha nyuma taifa hili kupata maendeleo ni BAVICHA
Ukiwa kwenye ID yako halisi utaweza kusema hivi?Magufuli wewe ndio rais Hao mafisadi wajipange aisee
Bila shaka wanajadili fyucha ya UKUTA. Kila la kheri.View attachment 397072
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (katikati) akiongoza kikao cha viongozi wa UKAWA kinachofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.
Dar es Salaam. Viongozi wa UKAWA wamekutana jijini Dar es Salaam kwa kikao cha faragha kinachoendelea muda huu jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kinachomshirikisha kada wa zamani wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru, kimewakutanisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu.
Wanaojitambua wamekutana..Lipumba anaumia roho alibipu Seif akapiga..







Yaap,alifata katiba ya CUFSeif alivyopiga ilikuwa ni Demokrasia si ndio ariffff....![]()
Hata silaa alitoka ccm, acha kukariri na kukurupukaWote wakutanao wametoka CCm kasoro Freeman Mbowe! Chadema asili wako wapi?
Kingunge,Lowassa, Seif na Baregu
Tangu lini mwanasiasa akafanya jambo kwa manufaa yako. Cha msingi ni kuchagua upande wa kushabikia ila don't expect anything good for your development.Naomba Mwenyezi Mungu awape busara maradufu ili yale wanayojadili na kuamua yawe ni kwa manufaa ya Nchi yetu inayovurugwa na wababe wasio upeo wa uongozi.