Viongozi UKAWA wakutana faragha

Viongozi UKAWA wakutana faragha

Sasa mashinji ambaye bado nina uhakika haijui chama kama kina lisu na mnyika atamshirikisha vipi kwenye dilii
 
Hii imekaa vyema hongera zao viongozi UKAWA umoja ni NGUVU hizo habari za LIPUMBA mwache atapetape tu
 
Hakuna viongozi wa UKAWA hapo Mkuu hii ni genge la wapiga dili maana mimi ninavojua UKAWA ilisisiwa kwa vyama 4 sasa hapo tunamwona sultani maalim seif na mbowe na genge lake profesa baregu naye alitegwa kanasa kwenye mtego wa mbowe mpiga dili
 
Vigogo wa ukawa jana walikutana kwa dharura jijini Dar.Miongoni mwao ni Lowasa,Maalim Seif na mzee Kingunge.Source gazeti Mtanzania
 
Kingunge na Lowassa wanaendelea kukata mizizi ya CHADEMA. Poleni nyumbu wote.
 
Back
Top Bottom