Viongozi UKAWA wakutana faragha

Viongozi UKAWA wakutana faragha

No much should be expected by wananchi from the same old fellows.
 
Kwa vile mikutano yote ya kisiasa hata mikutano ya ndani, imepigwa marufuku!, hivyo, kikao hicho sii halali na ni kinyume cha amri halali, naomba nijulishe na kunieleza kikao hiki kimefanyikia wapi ili niwaripoti washiriki wa kikao hicho kunako husika ili wahifadhiwe mahali salama! .
Pasco
Naomba nionyesha sehemu kwenye katiba inayosema ni haramu kikao hicho
 
Safari Hii Hawakufanyiwa Fujo Na Nyumba Ya Jirani Chama Kile Cha Jamaa
 
Kkao cha chai tu hapo,tutegemee tamko koko kuhusu zanzibar
Hapo sio ukawa ni genge tu la waamdaa vurugu,hakuna mama makaidi,hakuna mbatia utasemaje ni ukawa
Ubinafsi wa chadema kutaka wao wawe mbele kwa kila kitu,na ubinafsi wa sefu kuuota urais ndio uliowafikisha hapa wapinzani
Hapo wanazungumzia jinsi ya kuchafua visima na kuwaambia ndugu wasisalimiane,hakuna kuzungumzia uchumi wala rushwa hapo
 
Etiii kingunge amekuwa injia wa kikao!! Profesa barefu naye kaaribu taaluma yake bure kujadiliana na hakina mbowe
 
Ukishamwona mbowe , lowasa, maalim na kingunge ujue ni genge La watu uchwara !!! Hakuna maslahi ya taifa hapo ata siku moja
 
Viongozi wa Ukawa! Kwani Lowassa naye ni kiongozi ndani ya huo umoja? Ana wadhifa gani ndani ya Ukawa na Chadema?
 
Viongozi wa Ukawa! Kwani Lowassa naye ni kiongozi ndani ya huo umoja? Ana wadhifa gani ndani ya Ukawa na Chadema?
Kwanza alipigia kura katiba pendekezwa, na hakuwaunga mkono bunge la katiba, anakuwaje kiongozi wa UKAWA?!!
 
Wote wakutanao wametoka CCm kasoro Freeman Mbowe! Chadema asili wako wapi?
Kingunge,Lowassa, Seif na Baregu
Wewe kama umezaliwa mwaka 1995 mpaka 2016 unahaki ya kusema hivyo. Lakini huko nyuma, hukuruhusiwa kujiunga na chuo, kwenda nje ya nchi, kuajiriwa kama sio mwanachama wa CCM. Waanzilishi wote wa mageuzi walitoka CCM. Lakini na wote waendao mbinguni hutoka katika minyororo ya shetani.
 
View attachment 397072
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (katikati) akiongoza kikao cha viongozi wa UKAWA kinachofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.

Dar es Salaam. Viongozi wa UKAWA wamekutana jijini Dar es Salaam kwa kikao cha faragha kinachoendelea muda huu jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kinachomshirikisha kada wa zamani wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru, kimewakutanisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu.
Sijui kwanini nikiwaona, nawaonea huruma!!
 
mkuu picha plz,,
1473443433683.jpg
 
Back
Top Bottom