Viongozi UKAWA wakutana faragha

Viongozi UKAWA wakutana faragha

Haitaji kuwa na elimu ya profesa au doctor kujua hili lowasa anahudhuria kwenye kikao cha UKAWA kama nani???
 
Namwambia kamanda siro kuwa mna kikao wakat yeye kapiga marufuku
 
View attachment 397072
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (katikati) akiongoza kikao cha viongozi wa UKAWA kinachofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.

Dar es Salaam. Viongozi wa UKAWA wamekutana jijini Dar es Salaam kwa kikao cha faragha kinachoendelea muda huu jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kinachomshirikisha kada wa zamani wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru, kimewakutanisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu.
Leo Baregu anamsikiliza Lowassa na Kingunge?...kweli akili tumboni!
 
Si utumbo huu!! Tena ni utumwa kabisaa etii profesa baregu anaacha mda wake kwenda kumsikiliza lowasa na kingunge ambaye sasa hivi akili yake inawaza kula na kulala
 
Cku hizi Hakuna tena vita ya ufisadi listi ya mwembe yanga wapi tena
 
Kuna watu imewaumaaaa mwee mara mbatia yupo wapi? Ooh baregu amekaa na kina lowassa na kingunge Mara seif kaishiwa hahshahahaha msiwapangie hao waishi vipi ni watu wazima wanajua nn wanafanya
 
Hahahahaha wapiga madili na wasanii kazini...
 
Mbona huna hoja ya msingi wewe Mara cjui nini imeendaje imekuaje jenga hoja plz Mkuu tukuelewe
 
Wote wakutanao wametoka CCm kasoro Freeman Mbowe! Chadema asili wako wapi?
Kingunge,Lowassa, Seif na Baregu
Nchi hii kiongozi mkubwa ambaye hakutokana na CCM ni Nyerere pekee, sasa ajabu ni nini?

Halafu jifumze maana ya sasa, siasa ni dynamic kama ambavyo mwanadamu naye ni dynamic.

Vv
 
Watakaa mpka nguo zitawachanika this tym wanaongozwa na mtu sio saizi yao anawakalisha FARAGHA kila mara thn wanaambulia matamko hewa..
 
View attachment 397072
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe (katikati) akiongoza kikao cha viongozi wa UKAWA kinachofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.

Dar es Salaam. Viongozi wa UKAWA wamekutana jijini Dar es Salaam kwa kikao cha faragha kinachoendelea muda huu jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kinachomshirikisha kada wa zamani wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru, kimewakutanisha Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Profesa Mwesiga Baregu.
ofisi ya nani hii? inamhudumu makini sana ona alivyosimama kwa umakini, safi sana.
 
Mashinji hajui kupiga dilii Mkuu!! Hivi mbowe tangu lini kwenye dili amemshirikisha mtu chama chake , angalia mabilioni ya lowasa katafuna mwenyewe bila ata kumpa Dr slaa ata senti
 
Back
Top Bottom