Viongozi Chadema - must read

Viongozi Chadema - must read

HABARI YA UHAKIKA: Kikwete ametengeneza mtandao Chadema kwa kutumia TISS. Nina info za ndani, jikoni liliko jungu likitokota. Zinatumika fedha nyingi na ahadi za vyeo kemkem. Ndio maana mambo kama haya yapo na YATAKUWEPO. Chunga sana hii listi.... Zitto, Ben, ''Mzee Shibuda'' kama anavyoitwa na huyo makamu wa mwenyekiti njaa, yeye mwenyewe (makamu bavicha). Wana jeuri mbaya sana na wameahidiwa mengi. Tunawamulika kwa karibu kila nyendo tena kwa kituo. Tumeweza kupenyeza watu wetu. Tunasubiri siku ya siku....

Mimi sina price tag kama ulivyo wewe.Naomba uje uanike hizo info hapa...
 
Habari za uhakika nilizonazo ni kuwa hata hii taarifa sio yeye ameiandika
 
Na watu wenye stress za maisha ni asilimia tisini ya watanzania wote. Patamu hapo 2015.....

Ha ha ha...mi naona asilimia 100 mkuu maana walio CCM ndio wana stress mbaya za kuogopa kuondolewa kuliko hawa wengine!!!
 
Ha ha ha...mi naona asilimia 100 mkuu maana walio CCM ndio wana stress mbaya za kuogopa kuondolewa kuliko hawa wengine!!!

Mlalahoi apate stress gani wakati anachotafuta ni mlo wake wa kupitisha siku mambo yanaendelea. Tatizo waliochukua kisicho chao ndio wenye wasiwasi na mabadiliko, kwani hawana hakika na future yao nini kitatokea upinzani ukishika dola kuongoza nchi.
 
Back
Top Bottom