Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
HABARI YA UHAKIKA: Kikwete ametengeneza mtandao Chadema kwa kutumia TISS. Nina info za ndani, jikoni liliko jungu likitokota. Zinatumika fedha nyingi na ahadi za vyeo kemkem. Ndio maana mambo kama haya yapo na YATAKUWEPO. Chunga sana hii listi.... Zitto, Ben, ''Mzee Shibuda'' kama anavyoitwa na huyo makamu wa mwenyekiti njaa, yeye mwenyewe (makamu bavicha). Wana jeuri mbaya sana na wameahidiwa mengi. Tunawamulika kwa karibu kila nyendo tena kwa kituo. Tumeweza kupenyeza watu wetu. Tunasubiri siku ya siku....
Mimi sina price tag kama ulivyo wewe.Naomba uje uanike hizo info hapa...