macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,183
- 60,042
Lakini huyu mwana mama nae mwambieni atulize mapepo yake. Kama aliona mwenyekiti amepotoka kwanini yeye azidi kuleta matatizo? Nae ni kicheche tu. Ni kundi moja na wewe na Zitto.Absolutely Candid scope,
actually kuna mahali nimesema hivi..
I Expected BAVICHA cadres and organs to organize more activities with more appeal to young citizens, and strengthen the youth council's construction to increase the council's influence among Tanzanian's youth.Petty squables are not healthy.
Tarehe 28/5/2012(jumatatu ijayo) Baraza la vijana Chadema Taifa linamaliza mwaka mmoja tangu lichaguliwe.
Nategemea wiki hiii itakuwa ni wiki maalumu kwao katika kujitathmini kwamba ndani ya Mwaka mmoja BAVICHA imefanya nini.
Nilikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kutoa tahadhari.JF haikuwa Hewani lakini waliokuwa wanachama wa JF facebook tulijadili.Nilisema Shibuda hastahili kujibiwa.Anastahili kuachwa tu bila kujibizana nae kwenye media kwani huo ndiyo mchezo anaoutaka.Anataka kupandishwa chati kisiasa(najua kamanda shibuda ni member wa hapa JF unachungulia humu).Ulichungulia humu hata nilipokuwa nakutolea mfano kuhusu mtizamo wangu na cross-carpeting za wanasiasa kutoka chhama kimoja kwenda kingine.Nilisema bila darasa la Itikadi hapa itakuwa kazi kweli kweli.Itabidi kuwe na timua timua za ovyo kwenye vyama vya siasa.
Akiwa CCM alitangaza kugombea Urais kupambana na Jk mwaka 2010.Hakuna mwana-CCM makini aliyemjibu isipokuwa Mzee Makamba aliyeapa kwamba yupo radhi kwenda Jela kuliko kuruhusu upinzani dhidi ya JK,2010.mnalijua hilo,linajulikana
The best way to deal with comrade Shibuda is to ignore him.
Makosa yanafanyika pamoja na kwamba ni demokrasia lakini utani mwingine ni gharama kweli kweli.Huwezi kutangaza kugombea Urais Chadema halafu ukataka meneja kampeni wako awe mwenyekiti wa CCM halafu tukuchukulie mtu serious.Haya ni makusudi kwa kuwa Shibuda ni mzoefu wa michezo ya kisiasa na anajua analenga nini.
Hata mimi ningekuwa mwenyekiti wa vijana nisingevumilia kuona hili.
Sasa naamini hili suala litatauliwa kwa busara.Makamu Mwenyekiti Juliana Shonza ni kiongozi makini na shupavu kweli kweli.Ni kiongozi hodari.ni kiongozi adimu ambaye hawezi kupatikana kwingine isipokuwa ndani ya chadema tu.Anapenda kusema kile anachoamini.Nilipogombea uenyemkiti wa vijana huyu ndiye alikuwa chaguo langu.Aliniunga mkono na nilimuunga mkono.Sijawahi kutilia mashaka uwezo wake wa kuongoza.Kama kuna tatizo la flow of information nadhani tatizo hili litamalizika ndani ya vikao vya chama tu.It's not a big deal at all
Laiti tungekuwa na muundo kama wa ANC-YL ya Afrika Kusini basi leo tungekuwa na msemaji wa kama alivyo comrade floyd shivambu wa ANCYL.Mabaraza yote na jumuiya zote za vijana ndani ya vyama vya siasa Tanzania hatuwa na muundo kama huo kitu ambacho kinaweza kutoa mwanya kwa vijana kujikanganya au kuburuzana katika uendeshaji wa shughuli za kila siku kisaiasa na pengine hata maadui wa demokrasia kutumia mwanya huo kuleta mvurugano.
Naamini Baraza la vijana,litamaliza tatizo hili.Tusiwe na papara za kuhukumu watu.Tuwe na subira,tusikurupuke.Diplomasia na Busara inahitaji kutumika hapa.This is the right time to show leadership.
Malumbano ya watu binafsi yasiharibu taasisi.Shutuma kwamba Baraza la vijana ni wahuni hazivumiliki
Wanajifunza uongozi, muda uliobakia unatosha kabisa kabla ya uchaguzi 2015. Isipokuwa huyo Heche kwa kweli alikurupuka nadhani alikuwa na kinyongo na Shibuda akasahau kufikiri kwanza kabla ya kutoa tamko. Kwa hiyo ajifunze kwamba uongozi hauendi kwa chuki na kuviziana kwenye kona
Absolutely Candid scope,
actually kuna mahali nimesema hivi..
I Expected BAVICHA cadres and organs to organize more activities with more appeal to young citizens, and strengthen the youth council's construction to increase the council's influence among Tanzanian's youth.Petty squables are not healthy.
Tarehe 28/5/2012(jumatatu ijayo) Baraza la vijana Chadema Taifa linamaliza mwaka mmoja tangu lichaguliwe.
Nategemea wiki hiii itakuwa ni wiki maalumu kwao katika kujitathmini kwamba ndani ya Mwaka mmoja BAVICHA imefanya nini.
Nilikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kutoa tahadhari.JF haikuwa Hewani lakini waliokuwa wanachama wa JF facebook tulijadili.Nilisema Shibuda hastahili kujibiwa.Anastahili kuachwa tu bila kujibizana nae kwenye media kwani huo ndiyo mchezo anaoutaka.Anataka kupandishwa chati kisiasa(najua kamanda shibuda ni member wa hapa JF unachungulia humu).Ulichungulia humu hata nilipokuwa nakutolea mfano kuhusu mtizamo wangu na cross-carpeting za wanasiasa kutoka chhama kimoja kwenda kingine.Nilisema bila darasa la Itikadi hapa itakuwa kazi kweli kweli.Itabidi kuwe na timua timua za ovyo kwenye vyama vya siasa.
Akiwa CCM alitangaza kugombea Urais kupambana na Jk mwaka 2010.Hakuna mwana-CCM makini aliyemjibu isipokuwa Mzee Makamba aliyeapa kwamba yupo radhi kwenda Jela kuliko kuruhusu upinzani dhidi ya JK,2010.mnalijua hilo,linajulikana
The best way to deal with comrade Shibuda is to ignore him.
Makosa yanafanyika pamoja na kwamba ni demokrasia lakini utani mwingine ni gharama kweli kweli.Huwezi kutangaza kugombea Urais Chadema halafu ukataka meneja kampeni wako awe mwenyekiti wa CCM halafu tukuchukulie mtu serious.Haya ni makusudi kwa kuwa Shibuda ni mzoefu wa michezo ya kisiasa na anajua analenga nini.
Hata mimi ningekuwa mwenyekiti wa vijana nisingevumilia kuona hili.
Sasa naamini hili suala litatauliwa kwa busara.Makamu Mwenyekiti Juliana Shonza ni kiongozi makini na shupavu kweli kweli.Ni kiongozi hodari.ni kiongozi adimu ambaye hawezi kupatikana kwingine isipokuwa ndani ya chadema tu.Anapenda kusema kile anachoamini.Nilipogombea uenyemkiti wa vijana huyu ndiye alikuwa chaguo langu.Aliniunga mkono na nilimuunga mkono.Sijawahi kutilia mashaka uwezo wake wa kuongoza.Kama kuna tatizo la flow of information nadhani tatizo hili litamalizika ndani ya vikao vya chama tu.It's not a big deal at all
Laiti tungekuwa na muundo kama wa ANC-YL ya Afrika Kusini basi leo tungekuwa na msemaji wa kama alivyo comrade floyd shivambu wa ANCYL.Mabaraza yote na jumuiya zote za vijana ndani ya vyama vya siasa Tanzania hatuwa na muundo kama huo kitu ambacho kinaweza kutoa mwanya kwa vijana kujikanganya au kuburuzana katika uendeshaji wa shughuli za kila siku kisaiasa na pengine hata maadui wa demokrasia kutumia mwanya huo kuleta mvurugano.
Naamini Baraza la vijana,litamaliza tatizo hili.Tusiwe na papara za kuhukumu watu.Tuwe na subira,tusikurupuke.Diplomasia na Busara inahitaji kutumika hapa.This is the right time to show leadership.
Malumbano ya watu binafsi yasiharibu taasisi.Shutuma kwamba Baraza la vijana ni wahuni hazivumiliki
Lakini huyu mwana mama nae mwambieni atulize mapepo yake. Kama aliona mwenyekiti amepotoka kwanini yeye azidi kuleta matatizo? Nae ni kicheche tu. Ni kundi moja na wewe na Zitto.
Chadema ni muunganiko wa watu wenye stress za maisha....ata siku moja hakiwezi kuwa chama.
Amenufaika nini kuwa front page.
Mkuu MM, umenikumbusha kitu zaidi. Huyu Dada amesema maneno ya Heche si ya BAVICHA kwasababu hakuna kikao kilichofanyika kutoa kauli hizo. Sijui kama kuna kikao cha BAVICHA kilichokaa ili kutoa kauli ya kuji-dissociate na kauli za Heche kama alivyokanusha Dada yetu. Ndiyo maana nakaandika kuwa huenda ametumwa na sehemu ya uongozi au kundi ndani ya CDM. Je, kama kilikuwepo kikao, ni nani alikuwa mwenyekiti hadi Naibu wa mwenyekiti atoke na kauli ya kumdhalilisha mwenyekiti?
Ukitazama kauli ya Heche kama mwenyekiti haikuwa na maudhui au muundo wa kashfa. Alichokifanya Heche kisiasa kinakubalika'rebut' baada ya chama kudhalilishwa siyo kwa hoja ya kugombea bali hoja za udhaifu wa upinzani Shibuda akiwa mpinzani. Hata bila kauli ya Heche bado wanachama, manazi na mashabiki wa CDM walikereka.
Kauli ya Heche ilipaswa kutetewa kama ulivyonena kwa vile ni kauli ya mwenyekiti iliyolenga kulinda masilahi ya chama isiyo na matusi,kashfa bali majibu. Nimeandika (Duru za siasa) kuwa vyama lazima viwe na 'pundits' kutetea chama katika nyakati kama hizi na athari zake ndizo hizi. Mwenyekiti anaachwa nyikani mwenyewe
Ukisoma bandiko langu la mwisho katika safu ya (Duru za siasa) mara tu baada ya kauli ya Shibuda kumjibu Heche, niliweka wazi kabisa kuwa silaha anayotaka kuitumia Shibuda ni kumwandama Mwenyekiti Heche ili ugomvi uonekane ni kati yake na Heche na siyo CDM kwa minajili ya kujilinda na matokeo anayojua yatamsibu
Nilitahadharisha CDM juu ya hilo kwa bahati mbaya ushauri ukapuuziwa. Leo Shibuda ameibuka Kanda ya ziwa akiwa hana madai ya usukuma wake na kujikosha kuwa hana ugomvi na Chadema bali Heche. Hii imeshadidiwa na kauli ya Naibu BAVICHA mwanadada aliyekitenga chama na kumwacha Heche nyikani kana kwamba alikuwa anatetea familia binafsi.
Chadema wameingia katika mtego wa Shibuda hata pale tulipowapa majibu ya mtihani.
Lakini pia tujiulize kama huyu dada amedai kuwa kauli zile za Heche si za CDM, je ni kauli gani anazodhani Heche amevuka mipaka na nini msimamo wa BAVICHA kuhusu sakata la Shibuda?
Kutoa kauli tu kuwa BAVICHA haihusiki hakujajibu maswali na ni uchanga wa kisiasa usiohitaji ulezi bali kuondolewa
Naungana na MM kuwa Huyu Naibu BAVICHA(Dada) achukuliwe hatua
1. Kama alivyonena MM, aombe radhi kwa kumdhalilisha Mwenyekiti ambaye kiutaratibu ni mkuu wake wa kazi mbele ya vyombo vya habari na umma kwa ujumla
2. Aeleze wapi alipata mwongozo wa kukanusha kauli za BAVICHA na BAVICHA ipi ilimpa ridhaa ya kukanusha.
3. Alazimishwe kuachia ngazi kwasababu zifuatazo:
i] Hajui taratibu za uongozi
ii) Amekiingiza chama katika mtafaruku usio wa lazima na kuondoa mwelekeo wa kampeni zinazoendelea
iii] Anatumiwa na kundi lisilojulikana ndani ya chama kama hakupewa ridhaa na BAVICHA au uongozi
iv] Kushindwa kutetea masilahi ya chama na kuonyesha uoga kwa Shibuda bila sababu za msingi
Matamko ya mmoja mmoja hata kama anakinga ya kikatiba hayakubaliki kwa ajili ya kulinda mshikamano na umoja katika utawala wa kisheria. Ni dalili ya kuwepo ufa katika mfumo wa uongozi na nihatari kutohimili vishindo vya tetemeko la ardhi litokeapo nyumba yenye ufa.
Narudia kauli ambayo nilishawahi kumwambia Katibu Mkuu Dr. Slaa ambaye kwa sasa amefanikiwa kurekebisha kutoka safu ya juu Chadema, lakini tatizo ni kwa Ngazi ya juu Umoja wa Vijana Chadema.
Lazima kuondokana na mlipuko wa kujibu kwenye vyombo vya habari ghafla bila upembuzi wa kutosha, bila kutuliza kwanza nerves, bila kikao cha kushauriana nini cha kujibu na papo kuangalia upande wa pili wa sarafu athari zake kwa tamko litakalotolewa.
Busara inavyoonekana katika uongozi wa juu kwenye Uongozi wa Chadema naheshimu na ndicho kinachotakiwa, ila ipo kazi kuwaweka sawa viongozi wa BAVICHA.[/QUO
Nakuunga mkono mkuu lakini hata kama viongozi hawa walikosea hasa kwa Heche kutoa tamko pasipo mashauriano ya pamoja na viongozi wenzake bado makamu mwenyekiti wa BAVICHA hakupaswa kukurupuka na kuja kwenye media kumsuta Mwenyekiti wake. Busara ilikuwa yeye kukaa kimya na kusubiri kikao maalum. Kwa ujumla makamu mwenyekiti alikosa busara na hakuzingatia itifaki ya kiuongozi hata kidogo. Wanahitaji kufundwa hawa.