Viola is missing

Viola is missing

Mhhhh, hapa ni kumkamata tu Steve Nyerere na kumuhoji kinagaubaga huyu dada yupo wapi, yule dogo atasema ukweli tu kwani hana akili timamu.
 
Kati ya vitu vya hovyo mchonga alifanya ni kuunda aina hii ya Muungano kwamba mtu wa ZnZ anaweza watawala watanganyika
Kwani jiwe si alikua Mtanganyika mwenzenu,aliwafanyaje ?
 
Nawaza tu hapa kama hao watekaji wangekuwa wana access ya urahisi ya kuingia, au kuwafahamu members wakosoaji wote wa jamii forums! Aisee nina uhakika yangetokea mauaji ya halaiki.

Maxence Melo, congratulation brother. Unajitahidi sana kuwalinda ndugu zako humu jukwaani. Siku ikitokea ukawasaliti, basi tambua fika dunia haitakutambua tena kama shujaa na msimamizi wa sauti huru! Na badala yake utatambulika kama Yuda Iskarioti.
For sure 😁 wengi wetu tungekua hatupo Tena humu ndani.

Kuna police department ya kufanya DORIA MTANDAONI so ikimpendeza anafanya kile utashi wake utakavyo ona Ina mpendeza ama inafaa

Binafsi Mimi napitaga kimya kimya Kama naaga maiti kwenye Facebook, Instagram,X, YouTube Si comment chochote
 
Tatizo.la.mafwele akishamaliza kubaka anaua afadhali angekuwa anabaka tu peke yake
Acha kumsingizia mkaka wa watu, mbona yule Mkenya na Mganda hakuwaua?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, muda mwingine nae ana huruma.
 
For sure 😁 wengi wetu tungekua hatupo Tena humu ndani.

Kuna police department ya kufanya DORIA MTANDAONI so ikimpendeza anafanya kile utashi wake utakavyo ona Ina mpendeza ama inafaa

Binafsi Mimi napitaga kimya kimya Kama naaga maiti kwenye Facebook, Instagram,X, YouTube Si comment chochote
Acha uoga mkuu. Kufa ni kubadilisha makao tu, alisema Mdude.
 
Back
Top Bottom