Kama Ali kibao siodrama za kutafuta kiki za kijinga
Hiyo hakuweka yeye, msimsingizie. Kwenye katiba yake, waziri mkuu was so powerful than makamu wa rais. Hili limeanza baada ya mfumo wa vyama vingi, mwaka 1995 wakati Mchonga alikua out of regime 10 years before the general electionKati ya vitu vya hovyo mchonga alifanya ni kuunda aina hii ya Muungano kwamba mtu wa ZnZ anaweza watawala watanganyika
Nani alikua na power kma JPM? Ndio sembuse mtu wa chini kama huyu? CCM don't care hata Nyerere afufuke leo akikemea ufisadi anapigwa sumu tu!!Hizi harakati zinakutaka uwe na power fulani katika jamii, wewe mtu umepata flowers elfu kadhaa ushakuwa mpigania uhuru!
drama za kutafuta kiki za kijinga
Tatizo staff wao mmoja ameingia CHAUMMA so hatupo secured sana kwa sasa. Hata PM sijibu kabisa maana wanaweza watumia ao so called "activist kukukamatisha!!Nawaza tu hapa kama hao watekaji wangekuwa wana access ya urahisi ya kuingia, au kuwafahamu members wakosoaji wote wa jamii forums! Aisee nina uhakika yangetokea mauaji ya halaiki.
Maxence Melo, congratulation brother. Unajitahidi sana kuwalinda ndugu zako humu jukwaani. Siku ikitokea ukawasaliti, basi tambua fika dunia haitakutambua tena kama shujaa na msimamizi wa sauti huru! Na badala yake utatambulika kama Yuda Iskarioti.
Inatisha sanaðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Yana mwishodrama za kutafuta kiki za kijinga
Nimakosa?Hizi harakati zinakutaka uwe na power fulani katika jamii, wewe mtu umepata flowers elfu kadhaa ushakuwa mpigania uhuru!
Mdude ilianza hivi hivi mwisho watu wamekula buyu weais Mdude_Nyagali ?Wanataka kumuua
Hizi harakati zinakutaka uwe na power fulani katika jamii, wewe mtu umepata followers elfu kadhaa ushakuwa mpigania uhuru!
Kumbe alisomea na kubaka pia?Tatizo.la.mafwele akishamaliza kubaka anaua afadhali angekuwa anabaka tu peke yake
haya makiki ya kijinga sio gentleman, right?Yana mwisho