Viola is missing

Viola is missing

KWAHIYO MTU ASIPOPATIKANA TU KWA SIMU, TAYARI KATEKWA! KUWA MFUASI WA CHADEMA NI ZAIDI YA UTAAHIRA.
 
Hizi harakati zinakutaka uwe na power fulani katika jamii, wewe mtu umepata flowers elfu kadhaa ushakuwa mpigania uhuru!
Power fulani...! Ulitaka awe na power gani?
 
Mkuu mtu aking'atwa na nyoka akiona jani linatikisika huruka.
Ni matahira kidogo basi hawana hoja wala sera za msingi kama wapinzani wa nchi nyingine hawajui waanze na nini na waamalize na kipi bali ni matusi,vijembe,wivu,nk kwa pesa za upinde,familia yake imutafute watampata tu si alikuwa kazini bwana
 
Back
Top Bottom