Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,299
Ina maana ibada imeanza
I really miss Malaria Sugu @ this point. Where the hell is this chap,anyway?
Ina maana ibada imeanza
kuweni na amani,jeshi la polisi lipo kwaajili ya kuhakikisha wanadar es salaam wako salama pamoja na mali zao.so hakuna mwenye nguvu zaidi kwa jeshi la polisi ni busara tu imekuwa ikitumika kiasi kwamba baadhi ya watz wamedhani kama wan wana mamlaka zaidi ya jeshi la polisi.
ibada imeanza mapema hivyo mbona
nategeme leo nitasikia kuna kitu kizoto (flying object) kilirushwa toka upande wa pili teh teh tehWawatupie vitu vyenye ncha kali kumaliza tatizo hili.
kuweni na amani,jeshi la polisi lipo kwaajili ya kuhakikisha wanadar es salaam wako salama pamoja na mali zao.so hakuna mwenye nguvu zaidi kwa jeshi la polisi ni busara tu imekuwa ikitumika kiasi kwamba baadhi ya watz wamedhani kama wan wana mamlaka zaidi ya jeshi la polisi.
Jeshi la polisi limelala hadi mwenzao ameuwawa huko Zanzibar,bado mnasema busara...Mnataka afe nani ndio mshituke.?
thatha wewe kimaro,unachoogopa nini!thithi wenzio tunaendelea na kadhi zhetu wala hatuna wathiwathi.kwani thithi tumeharibu nini cha mtu?tujuzeni maana huku ofisini sina amani hata kidgo
thatha wewe kimaro,unachoogopa nini!thithi wenzio tunaendelea na kadhi zhetu wala hatuna wathiwathi.kwani thithi tumeharibu nini cha mtu?
Mkiwaacha mmewaogopa
vitangama fya nsire,visaa fya wamae
kwa kukushauri tu,kama uko maeneo ya kariakoo,mida ya tha thaba na kuendelea kaa ndani.usha mwamwia mdhee kimaro kule moshi kwamba huku hali thio zhuri thana!tatzo ni jinsi ya sisi kuja kurudi home kikinuka
tatzo ni jinsi ya sisi kuja kurudi home kikinuka