Vingine ni kujidhalilisha

Vingine ni kujidhalilisha

mshana jr;
Mbona hakuna shida, kama ana cha kuonesha aoneshe tu ni mali yake. Huenda kuna mtu anatamani amwoneshe akaogopa sasa ameamua aoneshe hadharani. Si kujidhalilisha ni kujiuza

Mh haya...!!!
 
Sioni cha kujidhalilisha hapo,kwani hizo kondom zimetumika?...ni jambo la ubunifu tu,tuache ushamba wa kukalili
 
Sioni cha kujidhalilisha hapo,kwani hizo kondom zimetumika?...ni jambo la ubunifu tu,tuache ushamba wa kukalili

Angekuwa mwanao au mkeo ungemnunulia? Vazi kama hilo unaweza kwenda nalo ofisini au kwenye nyumba ya ibada au kwa wakwe? Tuwe na tafakuri pana tusiongozwe na mihemko ya kitoto
 
Angekuwa mwanao au mkeo ungemnunulia? Vazi kama hilo unaweza kwenda nalo ofisini au kwenye nyumba ya ibada au kwa wakwe? Tuwe na tafakuri pana tusiongozwe na mihemko ya kitoto

Kufanya ngono na mkeo ni halali je unaweza kufanya mbele ya wakwe zako?
 
Tunazungumzia mavazi

Sio kila mavazi usiovaa kwa wazazi au wakwe hayafai,vijana wana uwanja wao wa kujiachia mbali na wazee wao....mfano wengi wakienda kwa wakwe kuposa hawavai jeans lakini jinsi linavaliwa na ni halali kwa miongoni mwa vijana na watu wazima pia
 
Sio kila mavazi usiovaa kwa wazazi au wakwe hayafai,vijana wana uwanja wao wa kujiachia mbali na wazee wao....mfano wengi wakienda kwa wakwe kuposa hawavai jeans lakini jinsi linavaliwa na ni halali kwa miongoni mwa vijana na watu wazima pia

Sawa hebu tuzungumzie haya waliovaa sasa hao mabinti hapo kwenye picha
 
Sawa hebu tuzungumzie haya waliovaa sasa hao mabinti hapo kwenye picha

Hilo halina tatizo ,hapo condom zimetumika kama matirial tu na si vinginevyo, hata wewe kama unaweza kubuni nguo kwa kutumia majani ya matembele,mwingine atatumia maganda ya mayai ,mabox nk ni matter of ubunifu tu
 
Ze condoms lo!!

1448563310549.jpg
 
Na hao je
 

Attachments

  • 1448563569879.jpg
    1448563569879.jpg
    29.4 KB · Views: 134
Back
Top Bottom