Ving'amuzi vya DSTV kwa Tsh 12000 per month

Ving'amuzi vya DSTV kwa Tsh 12000 per month

Wizzo

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
723
Reaction score
256
wanajf naomba kwa anaejua anisaidie eti ni kweli kunaving'amuzi vya dstv ambavyo vinafanana na vile vya startimes na vnalipiwa 12000 kwa mwez.nipeni ukweli wa hli jambo kama ni kweli vinapatkana wapi mi npo arusha.NAWASILISHA
 
Mimi nafahamu kua vipo vya shs 15000 kwa mwezi na vina chanel nzuri kuliko hiyo startimes,kama sikosei kuna chanel 30,nenda ktk tawi lolote la Dstv utapata.
 
Ni dola 10 sasa sijui ukibadili kwa pesa yetu sasa hivi sijui ni sh ngapi?
 
je vina channel ngapi na zaina gani, au kama za akina star times
 
wanajf naomba kwa anaejua anisaidie eti ni kweli kunaving'amuzi vya dstv ambavyo vinafanana na vile vya startimes na vnalipiwa 12000 kwa mwez.nipeni ukweli wa hli jambo kama ni kweli vinapatkana wapi mi npo arusha.NAWASILISHA

nafikiri ulitaka kuulizi packages za DSTV.. ninavyojua mimi full package ni 110,000 hapa unapata Super Sport zote.. na kuna Midium package unalipia 60,000 hii haina S/Sport nafikiri kuna ya chini zaidi yenye limitation ya channel 30.. sijui bei yake, mawasiliano ni kwa Satellite.
 
bei ya chini kabisa: no 110000 malipo kwa mwezi no 16,000 local channel ni Tbc tu kuna channel moja ya sspt blitz.
 
bei ya chini kabisa: no 110000 malipo kwa mwezi no 16,000 local channel ni Tbc tu kuna channel moja ya sspt blitz.
Zipo na za Kenya na ipo moja inayoonesha tamthiliya na movie za kiswahili ni kali kweli
 
wanajf naomba kwa anaejua anisaidie eti ni kweli kunaving'amuzi vya dstv ambavyo vinafanana na vile vya startimes na vnalipiwa 12000 kwa mwez.nipeni ukweli wa hli jambo kama ni kweli vinapatkana wapi mi npo arusha.NAWASILISHA

Vituo vyote vya mafuya vyaitwa SHELIi.

Ukiona dish tu basi ni DSTV lol!
 
wanajf naomba kwa anaejua anisaidie eti ni kweli kunaving'amuzi vya dstv ambavyo vinafanana na vile vya startimes na vnalipiwa 12000 kwa mwez.nipeni ukweli wa hli jambo kama ni kweli vinapatkana wapi mi npo arusha.NAWASILISHA
DSTV arusha wanapatikana karibu na IMPALA HOTEL...
DSTV wana package kama 4
1) dstv full package premium =$90
2)dstv compact Plus= tshs 80,000/=
3)dstv compact= tshs 48,000/=
4)dstv family= tshs 17000/=
chagua uipendayo....
 
Hawa wafanya biashara wanaofanya biashara zao hapa Bongo kwa Dola($) wananiudhi sana, kama wanaona shilingi(Tsh.) ya Tanzania haina thamani kwao wahamie huko wanakotumia dola, hii pia inaonyesha wana watu wao waliowalenga ktk biashara yao na sio watanzania walalahoi.
 
mkuu ni lazima uende dstv ukanunue decoder, dish na fundi wa ku-install then ndio uchague package unayotaka
 
DSTV arusha wanapatikana karibu na IMPALA HOTEL...
DSTV wana package kama 4
1) dstv full package premium =$90
2)dstv compact Plus= tshs 80,000/=
3)dstv compact= tshs 48,000/=
4)dstv family= tshs 17000/=
chagua uipendayo....

DSTV family ni dola 20 na DSTV access ni dola 10 ndio ya chini kabisa. Lakini lazima kwanza ununue decoder na dish yake
 
nikitaka equipment peke yake yaani dish na decoder wanauza bei gani?
 
nikitaka equipment peke yake yaani dish na decoder wanauza bei gani?
bei ni sawa kama hapo juu mkuu! Gharama za fundi ni juu yako,dstv wanaumiza sana japokuwa hatuna option nyingine,me nililipia fully package kwa 140000,coz dolla ilikuwa juu! Hiv hakuna wachakachuaji wa hii kitu wakuu!!!
 
bei ni sawa kama hapo juu mkuu! Gharama za fundi ni juu yako,dstv wanaumiza sana japokuwa hatuna option nyingine,me nililipia fully package kwa 140000,coz dolla ilikuwa juu! Hiv hakuna wachakachuaji wa hii kitu wakuu!!!

Nasikia wachakachuaji wapo wengi sana lakini sijawapata, ila kwa hapa JF ngoja waje!
 
Back
Top Bottom