renall big
Senior Member
- Dec 16, 2012
- 107
- 18
Kwa matatizo yote ya Azam tv kingamuzi nendeni ofisi za azam zamani national milling buguruni
Changu nimekaaa nacho mwaka kikaungua nikawapelekea wakanibadilishia kwa malipo ya 60000 tzs na remote sasa some buttons hazifanyi kazi nikawaendea wakasema haitengenezek8 nunua mpya 25000tzs sikuwa na hela siku hiyo ila wakati nipo mtaa napiga mayowe ubovu na ughali wa vifsa vya azam ndipo swahiba mmoja akaniuliza "wewe si una kisimbuzi cha star time pia?" "Nikamjibu naam"hivi kuna watu mna akili gani...kwa hiyo unabisha kwamba vingamuzi vyangu havijaharibika au?na nani kakwambia nimefanya research?unajua nilikuwa najiulizaga sana kwanini mtu anamtukana mtu humu jf wakati hawafahamiana lakini kumbe kuna watu mnastahili kutukanwa
mkuu, hivyo ving'amuzi vya azam ni JIPU.Ni kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikikutana na usumbufu kutoka kwenye hivi vingamuzi vya azam, yani hakiwezi kukaa mwaka mmoja kikafanya kazi lazima kiharibike. Sitaki kuandika sana ila ningependa kutoa matukio machache juu ya ubovu huo.
Kwanza ni sehemu yangu ya biashara nimefunga hiki kingamuzi...baada ya mwaka mmoja kile kingamuzi kikawa kinazima na kuwaka chenyewe, cha pili ni cha rafiki yangu yeye baada ya mwaka mmoja kikawa baada ya muda kinasema insert card wakati kadi ipo hapo mpaka uzime uwashe ila baada ya muda inajirudia. Cha hapa nyumbani ni wiki sasa kingamuzi kimezima chenyewe tu kimegoma kuwaka.
kweli we maana mtoka pabaya,gani ukipita mtaa watu wanaingia ndani?? duhBabu, jifunze kuwa mtunzani usijifunze kutukana watu...kuna watu tuna matusi hapa hadi tukipita mtaani watu wanaingia ndani, kuwa mpole. Mwambie na huyo demu wako kwamba, aandike namba za kadi ili kwamba anapotaka kulipia asiwe na haja ya kuchomoa kadi mara kwa mara na kuchubua ule utepe kiasi iwe inamprompt kuinsert kadi.....sawa?
Mkishindwa njooni muangalie TV kwangu, ila mkumbuke mkineng'eneka na king'amuzi....KONZI, mi cha kwangu hakichezewi. Karibuni.
Cut the crab...Mimi navyowajua Watanzania wenzangu, mtu atapakia tani 2 kwenye kirikuu na kesho atasimama jukwaani kusema 'Suzuki Carry, labda nipewe bure' lkn muulize kama aliwahi kusoma manual book ya carry.......mbio.
Tufahamu kuwa, kukalia remote ya TV si sehemu ya makubaliano ya huduma na mtoa huduma. Mwanao kuibutabuta chini si sehemu ya matumizi ya kifaa hicho. Joto la mahali husika lina nafasi ya kudumu na ubora wa huduma utakayopata. Hakuna UNGO wowote unaofanya vizuri ikiwa uelekeo wake unakabiliana na matone ya mvua.
Kabla hatujavurumisha comments kuhusu ubora wa bidhaa fulani, tujikague mazingira na tabia zetu za matumizi.
Mkuu hapo najikanya kwenye remote maana haka katoto chetu na hiyo remote ni majanga!Mimi navyowajua Watanzania wenzangu, mtu atapakia tani 2 kwenye kirikuu na kesho atasimama jukwaani kusema 'Suzuki Carry, labda nipewe bure' lkn muulize kama aliwahi kusoma manual book ya carry.......mbio.
Tufahamu kuwa, kukalia remote ya TV si sehemu ya makubaliano ya huduma na mtoa huduma. Mwanao kuibutabuta chini si sehemu ya matumizi ya kifaa hicho. Joto la mahali husika lina nafasi ya kudumu na ubora wa huduma utakayopata. Hakuna UNGO wowote unaofanya vizuri ikiwa uelekeo wake unakabiliana na matone ya mvua.
Kabla hatujavurumisha comments kuhusu ubora wa bidhaa fulani, tujikague mazingira na tabia zetu za matumizi.
Sisi wa Katavi je?Nenda ofisi ya azam tazara Ile inayoangalia Nyerere road.
Zuku ndio worst duniani kote! Siwapendi kweli kweli wapuuzi waleHata zuku haikamati wakati mvua inanyesha