Vincent Nyerere avunja ukimya

Vincent Nyerere avunja ukimya

Voice of Mara

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
358
Reaction score
127
Mhe Vincent Nyerere mbunge wa Musoma mjini ambaye ni moja wa familia ya Nyerere amevunja ukimya na kunena juu ya sakata iliondikiwa na magezeti mawili ya kila siku ambayo ni jambo Leo pamoja na Majira.Hii imetokana na ziara aliyoifanya Mnyika na baadaye Zitto pia katika makumbusho ya Butiama pamoja na kuonana na Mzee Wanzagi.

Soma alisema Vincent Nyerere...

Nina bahati ya kutoka kwenye ukoo ulio neutral kabisa ki siasa, kila mwanasiasa wa Chama chochote kwenye ukoo wetu ana haki Sawa, ndugu zangu wapo CCM mie nipo CHADEMA, wageni wote wanapokelewa Sawa.

Ninachukia kuona wengine wanawalisha Wanandugu Kuwa wameombwa wengine wasipokelewe,Kwetu Hilo halipo.

NI VIZURI KUTOWEKA MANENO YA UZUSHI KUWA FULANI KASEMA MKIJA MSIPOKELEWE.

Hakuna ukweli katika Hilo msemaji wa ukoo ni Chief Japhet Wanzagi Nyerere.Kwa niaba yake tunawapenda wote.
 
DAAH JOB TRUE TRUE, HUU MWAKA KUNA WATU WATAKIMBIA NJII HII (in Lyatonga Voice). Sijui tangu lini mtu binafsi akashindana na taasisi na akafanikiwa.. Pole zao sana!
 
Baadhi ya Magazeti(Uhuru, Majira, Jambo leo, Raia mwema, Mtanzania, Habari leo nk) hapa Tanzania ni sehemu ya taasisi zinazodaiwa kulipwa na wafadhili wa ACT ili kuipa attention ACT(Zitto) kwa kutumia nyota ya CHADEMA.
Hivyo wanatafuta kila angle ya kutaka kuonyesha kuwa CHADEMA wako busy kupambana na ACT wakati sio kweli
Kabisa.
 
Mhe Vincent Nyerere mbunge wa Musoma mjini ambye ni moja wa familia ya Mwl Julius Kambarage Nyerere amevunja ukimya na kunena juu ya sakata iliondikiwa na magezeti mawili ya kila siku ambyo ni jambo Leo pamoja na majira.hii imetokana na ziara alio ifanya Mnyika na baadaye Zitto pia katika makumbusho ya Butiama pamoja na kuonana na Mzee Wanzagi.soma.........alisema

Mhe vincent nyerere Nina bahati ya kutoka kwenye ukoo ulio neutral kabisa ki siasa, kila mwana siasa wa Chama chochote kwenye ukoo wetu ana haki Sawa, ndugu zangu wapo CCM mie nipo Chadema, wageni wote wanapokelewa Sawa... Ninachukia kuona wengine wanawalisha Wana ndugu Kuwa wameombwa wengine wasipokelewe... Kwetu Hilo halipo.... NI VIZURI KUTOWEKA MANENO YA UZUSHI KUWA FULANI KASEMA MKIJA MSIPOKELEWE... Hakuna ukweli katika Hilo msemaji wa ukoo ni Chief Japhet Wanzagi Nyerere.... Kwa niaba yake tunawapenda wote
Huyu siyo mtoto wa nyerere kwanini hataki kutaja jina la baba yake?
 
Baadhi ya Magazeti(Uhuru, Majira, Jambo leo, Raia mwema, Mtanzania, Habari leo nk) hapa Tanzania ni sehemu ya taasisi zinazodaiwa kulipwa na wafadhili wa ACT ili kuipa attention ACT(Zitto) kwa kutumia nyota ya CHADEMA.
Hivyo wanatafuta kila angle ya kutaka kuonyesha kuwa CHADEMA wako busy kupambana na ACT wakati sio kweli
Kabisa.
Pata like Mkuu!!
 
Mhe Vincent Nyerere mbunge wa Musoma mjini ambaye ni moja wa familia ya Nyerere amevunja ukimya na kunena juu ya sakata iliondikiwa na magezeti mawili ya kila siku ambayo ni jambo Leo pamoja na Majira.Hii imetokana na ziara aliyoifanya Mnyika na baadaye Zitto pia katika makumbusho ya Butiama pamoja na kuonana na Mzee Wanzagi.

Soma alisema Vincent Nyerere...

Nina bahati ya kutoka kwenye ukoo ulio neutral kabisa ki siasa, kila mwanasiasa wa Chama chochote kwenye ukoo wetu ana haki Sawa, ndugu zangu wapo CCM mie nipo CHADEMA, wageni wote wanapokelewa Sawa.

Ninachukia kuona wengine wanawalisha Wanandugu Kuwa wameombwa wengine wasipokelewe,Kwetu Hilo halipo.

NI VIZURI KUTOWEKA MANENO YA UZUSHI KUWA FULANI KASEMA MKIJA MSIPOKELEWE.

Hakuna ukweli katika Hilo msemaji wa ukoo ni Chief Japhet Wanzagi Nyerere.Kwa niaba yake tunawapenda wote.

Hapa ndipo ulipo msisitizo wa hoja yake.

Kuwa Vicent Nyerere anasema aliyozungumza Mzee wa Ukoo wa Buritoambaye pia Mwenyekiti wa Wazee wa Butiama, Jack Nyamwaga hayapaswi kutiliwa maanani maana sio msemaji wa familia.

Vicent Nyerere kaamua walau amsitiri mwenzake.


  • VIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo na Chama cha Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA), jana nusura wakutane uso kwa uso nyumbani kwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, walipokwenda kuzuru kaburi lake kwenyeKijiji cha Mwitongo, Wilaya ya Butiama, mkoani Mara.

    Msafara wa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Bara, Bw. JohnMnyika, ndio ulioanza kuwasili kujijini hapo na baada ya kuzurukaburi, waliondoka ukawasili msafara wa ACT ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho, Bw. Zitto Kabwe.

    Msafara wa ACT, ulifika kijijini hapo baada ya chama hichokumaliza ziara ya kukitangaza, kukitambulisha chama naviongozi wake kwenye mikoa mbalimbali nchini.

    Akizungumza mara baada ya kuwapokea viongozi wa ACT,
    Mzee wa Ukoo wa Burito ambaye pia Mwenyekiti wa Wazee wa Butiama, Jack Nyamwaga, alisema muda mfupi uliopita walikuwepo viongozi wa CHADEMA.

    "Baada ya viongozi hao kufika hapa Mwitongo, walisema kuna viongozi wanakuja lakini tusiwape ushirikiano wakidaikama ni suala la kupinga ufisadi, CHADEMA wamelipigiakelele ili kumuenzi Mwalimu Nyerere.

    "Kimsingi kila mtu anaruhusiwa kufika hapa Mwitongo katikakaburi la Mwalimu na sisi kama wanafamilia, tunampokea kila mtu lakini si kazi yetu kusema nani aje, nani asije," alisema.

    Aliongeza kuwa, viongozi wengi wamekuwa wakimuenzi Mwalimu Nyerere kwa maneno si kwa vitendo...ACT mmeanzavizuri na mtamaliza vizuri, nawatakia kila la heri kama kwelimtamuenzi Mwalimu kwa vitendo," alisema Mzee Nyamwaga.

    Kwa upande wake, Bw. Kabwe alisema wao watamuenzi Mwalimu kwa vitendo ndio maana wameweka msingi huokatika ilani ya chama chao.

    Alisema lengo la kumalizia ziara hiyo kwenye kaburi la Mwalimu Nyerere ni kutokana na kuuenzi mchango wake kwa Taifa na Watanzania ndio maana walianzia ziara yao mkoani Ruvuma.

    "Tumefika hapa na viongozi wenzangu wa ACT kwa sababuya kutambua mchango wa Mwalimu kwa Taifa...chama chetukitayaenzi mambo yote ambayo Mwalimu alikuwa akiyakataa kwa vitendo na Katiba yetu inatamka hivyo," alisema Bw. Kabwe.



 

Similar Discussions

Back
Top Bottom