SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Hahaha hapo harudi tena. Umempa za uso. Amekaa
Ngoja akatulie lumumba
Hahaha hapo harudi tena. Umempa za uso. Amekaa
Huo ndio ukweli CDM wanapambana na ACT tena sio kwa kificho wametangaza hadharani kuwa "Adui yetu namba moja ni ACT na zzk" (Mnyika, 2015)Baadhi ya Magazeti(Uhuru, Majira, Jambo leo, Raia mwema, Mtanzania, Habari leo nk) hapa Tanzania ni sehemu ya taasisi zinazodaiwa kulipwa na wafadhili wa ACT ili kuipa attention ACT(Zitto) kwa kutumia nyota ya CHADEMA.
Hivyo wanatafuta kila angle ya kutaka kuonyesha kuwa CHADEMA wako busy kupambana na ACT wakati sio kweli
Kabisa.
wakati mwingine unapokuwa kiongozi wa wananchi lazima uwe mkweli tusiwe na propeganda wakati wote hii skendo ni kweli maagizo yalitolewa kilichosadia ule mjini ulibarikiwa kuwa na watu wenye kujitambua hawafati maagizo ya mtu walisema ile ni nyumba ya wtz anaruhusiwa kuingia kila mtu wakasema kwanza nyie tumewazoea acheni na hawa wapya waje tuwasikilize tufanye siasa za hoja sio vihoja mungu ibariki act wazalendoMhe Vincent Nyerere mbunge wa Musoma mjini ambaye ni moja wa familia ya Nyerere amevunja ukimya na kunena juu ya sakata iliondikiwa na magezeti mawili ya kila siku ambayo ni jambo Leo pamoja na Majira.Hii imetokana na ziara aliyoifanya Mnyika na baadaye Zitto pia katika makumbusho ya Butiama pamoja na kuonana na Mzee Wanzagi.
Soma alisema Vincent Nyerere...
Nina bahati ya kutoka kwenye ukoo ulio neutral kabisa ki siasa, kila mwanasiasa wa Chama chochote kwenye ukoo wetu ana haki Sawa, ndugu zangu wapo CCM mie nipo CHADEMA, wageni wote wanapokelewa Sawa.
Ninachukia kuona wengine wanawalisha Wanandugu Kuwa wameombwa wengine wasipokelewe,Kwetu Hilo halipo.
NI VIZURI KUTOWEKA MANENO YA UZUSHI KUWA FULANI KASEMA MKIJA MSIPOKELEWE.
Hakuna ukweli katika Hilo msemaji wa ukoo ni Chief Japhet Wanzagi Nyerere.Kwa niaba yake tunawapenda wote.
Familia ya Nyerere inasema ni mwanao,
Wewe ni nani???
wakati mwingine unapokuwa kiongozi wa wananchi lazima uwe mkweli tusiwe na propeganda wakati wote hii skendo ni kweli maagizo yalitolewa kilichosadia ule mjini ulibarikiwa kuwa na watu wenye kujitambua hawafati maagizo ya mtu walisema ile ni nyumba ya wtz anaruhusiwa kuingia kila mtu wakasema kwanza nyie tumewazoea acheni na hawa wapya waje tuwasikilize tufanye siasa za hoja sio vihoja mungu ibariki act wazalendo
mhe vincent nyerere mbunge wa musoma mjini ambaye ni moja wa familia ya nyerere amevunja ukimya na kunena juu ya sakata iliondikiwa na magezeti mawili ya kila siku ambayo ni jambo leo pamoja na majira.hii imetokana na ziara aliyoifanya mnyika na baadaye zitto pia katika makumbusho ya butiama pamoja na kuonana na mzee wanzagi.
Soma alisema vincent nyerere...
Nina bahati ya kutoka kwenye ukoo ulio neutral kabisa ki siasa, kila mwanasiasa wa chama chochote kwenye ukoo wetu ana haki sawa, ndugu zangu wapo ccm mie nipo chadema, wageni wote wanapokelewa sawa.
Ninachukia kuona wengine wanawalisha wanandugu kuwa wameombwa wengine wasipokelewe,kwetu hilo halipo.
Ni vizuri kutoweka maneno ya uzushi kuwa fulani kasema mkija msipokelewe.
Hakuna ukweli katika hilo msemaji wa ukoo ni chief japhet wanzagi nyerere.kwa niaba yake tunawapenda wote.
Huyu siyo mtoto wa nyerere kwanini hataki kutaja jina la baba yake?
act chama cha kipuuzi sana nimekidharau kwa kueneza propaganda zisizokuwa na tija,wewe ndo umekuwa msemaji wa ukoo wa nyerere?
ficha ujinga wakoVicent nyerere na phileman mbowe nani mtoto wa nyerere;
kama ngelitoa mh mbowe sawa lakini huyu atumtambua; watoto wa baba na mama wako hai,
ndo maaana wameuchuna,
mnyika ni zigo; ebu tutoleeni ili zigo kanda ya ziwa
hakuna unafiki act; makavu laivu
Kaa kimya kuficha upumbavu wakoVicent nyerere na phileman mbowe nani mtoto wa nyerere;
kama ngelitoa mh mbowe sawa lakini huyu atumtambua; watoto wa baba na mama wako hai,
ndo maaana wameuchuna,
mnyika ni zigo; ebu tutoleeni ili zigo kanda ya ziwa
Huyu siyo mtoto wa nyerere kwanini hataki kutaja jina la baba yake?
Mhe Vincent Nyerere mbunge wa Musoma mjini ambaye ni moja wa familia ya Nyerere amevunja ukimya na kunena juu ya sakata iliondikiwa na magezeti mawili ya kila siku ambayo ni jambo Leo pamoja na Majira.Hii imetokana na ziara aliyoifanya Mnyika na baadaye Zitto pia katika makumbusho ya Butiama pamoja na kuonana na Mzee Wanzagi.
Soma alisema Vincent Nyerere...
Nina bahati ya kutoka kwenye ukoo ulio neutral kabisa ki siasa, kila mwanasiasa wa Chama chochote kwenye ukoo wetu ana haki Sawa, ndugu zangu wapo CCM mie nipo CHADEMA, wageni wote wanapokelewa Sawa.
Ninachukia kuona wengine wanawalisha Wanandugu Kuwa wameombwa wengine wasipokelewe,Kwetu Hilo halipo.
NI VIZURI KUTOWEKA MANENO YA UZUSHI KUWA FULANI KASEMA MKIJA MSIPOKELEWE.
Hakuna ukweli katika Hilo msemaji wa ukoo ni Chief Japhet Wanzagi Nyerere.Kwa niaba yake tunawapenda wote.
Huyu siyo mtoto wa nyerere kwanini hataki kutaja jina la baba yake?