Picha za Mkapa na Vincent wakiwa kwenye msiba wa baba-Vincent yaani Kiboko Nyerere

Nikupateje

JF-Expert Member
Dec 22, 2009
1,334
988
Vincent Nyerere.jpg

Kama hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.

Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.

Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.


Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki, parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere.

Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose the unexposed!

Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012
 
ulimi ulimteleza mzee mzima. nadhani anajutia kauli yake kimoyomoyo.

View attachment 50319

Kama
hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja
ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu
Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria
Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.
Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati
huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent
imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.
Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.
Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki,
parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele
kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya
Mkapa ni Vincent Nyerere.
Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose
the unexposed!
Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012
 
Mkuu umetoa kwenye gazeti la mfanyakazi nini??du nikupe password
 
View attachment 50319

Kama hutaweza kuona vizuri picha hizi ni kwamba zimepigwa mara mbili. Moja ni Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Josephat Kiboko Nyerere, huku pembeni yake akiwepo Anne Mkapa, Maria Nyerere na Chief Japhet Wanzagi.

Nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere huyu mbunge wa CHADEMA lakini wakati huo yaani December 19, 2007 hajawa mbunge. Utaona picha ya Vincent imezungushiwa duara ili kumuonyesha vizuri.

Hapo ni nyumbani kwa marehemu yaani kwao na Vincent Nyerere.


Picha ya chini ni kwenye misa ya mazishi katika Kanisa Katoliki, parokia ya Butiama. Mnamuona Benjamin Mkapa amekaa kiti cha mbele kanisani akiwa ameshika kitabu akifuatilia misa. Hapa vilevile nyuma ya Mkapa ni Vincent Nyerere.

Kazi kwenu wana JF, the place we dare talk, the place we dare expose the unexposed!

Source:
JAMHURI,
ISSN-1821-8156, No. 17
March 27, 2012
Inatosha jamani tusiwafanye wakatokwa mapovu bure kwa kujitahidi kujibu/kutetea hili pia..
 
Nilisema na nitarudia tena kusema Balile na Boss wake [Mmiliki wa gazeti la Jamhuri] wako kazini wakiwa na agenda ya 2012 ndani ya CCM na 2015 kwa ajili ya kuingia Magogoni. Hii habari haitaisha labda Mkapa aamue kwenda Mahakamani kuomba magazeti yasiendelee kuiandika, vinginevyo kuna mtu anataendelea kutumia habari hii kama mtaji.
 
Duuuu. Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu kali ili usichanganye mambo. Aibuuuuu...............................:violin:
 
Ukiwa muongo hupaswi kuwa msahaulifu..mkapa kawa msahaulifu anakula matapish yake sasa
 
Kwa wote wanaoshabikia hili suala, wamekuwa hawana point muhimu zinazowafanya kumlaumu BWM. Mimi binafsi ktk ukoo wetu wengi wananijua lakini mimi siwafahamu hii inatokana na umaarufu wangu hivyo hakuna cha ajabu hapo.
 
Back
Top Bottom