Vincent Nyerere avunja ukimya

Vincent Nyerere avunja ukimya

Ukoo wa Nyerere hauna ubinafsi na uwongo uwongo, tatizo Watanzania tumeshajengewa taaluma ya uwongo na uzushi. Tujiangalie sana tunapowachagua viongozi wetu, tangu ngazi ya Kitongoji/Mtaa hadi Taifa, la sivyo kama Taifa tutabaki wasindikizaji na 'pele pele' nyingi wakati wenzetu wanasonga.
 
ACT wanaendelea kuigiza , waliona kumfitini Mengi hakutoshi sasa wameingiza familia ya Mwalimu .........

vicent nyerer ndo nani, ni wale wale tu wasaka tonge yule ni chadema lazima amushabikie munyika hawezi mutosa.
sisi tunajua amewazuia kwenda ACT ,,CHADEMA Wanafiki wakubwa.
 
vicent nyerer ndo nani, ni wale wale tu wasaka tonge yule ni chadema lazima amushabikie munyika hawezi mutosa.
sisi tunajua amewazuia kwenda ACT ,,CHADEMA Wanafiki wakubwa.

Humjui ni nani ok,ngoja nikufahamishe ni mmoja wa wanaukoo wa nyerere na hapa ametoa tamko kama la ukoo na si la kichama.ACT ipunguze kiherehere kwa kupakazia mambo ya kijinga jinga kwa kwenda kufanya siasa za uongo kwenye kaburi la baba wa taifa.
 
Labda mimi ndio sijaelewa!! Kosa la Mh. VJN ni kumtaja msemaji wa ukoo na taratibu za ukoo wao au ni uzawa wake? Hivi kumbe mpaka siku hizi tungali na tabia za kuacha hoja jadiliwa na kuanzisha mijadala isiyo mashiko?

Poleni!
 
Huyu siyo mtoto wa nyerere kwanini hataki kutaja jina la baba yake?

Uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo ni dhaifu sana, hapo badala ya kujadili kilichoandikwa ww unajadili baba wa mtoa hoja,😉

Poor boy!
 
Tutajie kwanza jina la baba wa nape,pia baba yake membe

Unawzaje kutengenasha huyo jamaa na cdm . Kwa maslahi ya chadema asingeweza kwenda kinyume na chadema hatakama ni kweli
 
Unawzaje kutengenasha huyo jamaa na cdm . Kwa maslahi ya chadema asingeweza kwenda kinyume na chadema hatakama ni kweli

Kwa hiyo unakubaliana kuwa actccm walikurupuka?
 
Mwaka wanafiki watazidi kuumbuka ACT mnapoteza muda wenu kushindana na moto wa Chadema uwongo hatowafikisha popote.

Mkuuu naomba kujua actccm wameishia wapi?yaani chama akiumwa mtu mmoja na chama kinaumwa?mkuu hatuhitaji kutumia nguvu nyingi ya kuhangaishana na mtoto wa ccm
 
Huyu siyo mtoto wa nyerere kwanini hataki kutaja jina la baba yake?


Kwani wewe ukitajiwa Nyerere unajua ni JK tu?
Ongeza maarifa ukoo Wa Nyerere anatokea Vincent,ukiendelea kubisha bila fact muulize BWM kilichomkuta wakati Wa kampeni za ubunge arumeru mashariki.
 
Kwani wewe ukitajiwa Nyerere unajua ni JK tu?
Ongeza maarifa ukoo Wa Nyerere anatokea Vincent,ukiendelea kubisha bila fact muulize BWM kilichomkuta wakati Wa kampeni za ubunge arumeru mashariki.


Huyo usisumbuke kubishana naye kichwa chake ni 1000kb,anahitaji kuelimishwa Vincent Nyerere,ni mtoto wa kaka yake mwalimu Nyerere,hivyo mwalimu nyerere ni baba yake mdogo.Mbali jina lake la kinyumbani ni Nyerere hilo Vincent ni la ubatizo
 
Mkuu nilimjibu actccm alipost kuwa tuiondoe chadema mkoani mara kwani haipendwi.

CCM haina nafasi tena mkoa wa mara,wana mara wameamka na wanatambua kile wanachohitaji siyo propaganda za fisiem
 
Mkuuu naomba kujua actccm wameishia wapi?yaani chama akiumwa mtu mmoja na chama kinaumwa?mkuu hatuhitaji kutumia nguvu nyingi ya kuhangaishana na mtoto wa ccm

ACT chama cha waha cha kufa na kuzikana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom