Vimbwanga vya Night Shift at Ticts

Vimbwanga vya Night Shift at Ticts

mapipando

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,922
Reaction score
3,563
27752204_1843423225728854_4709919881518181191_n.jpg
 
Duh kweli kontena lilikazwa vyema kwenye Lori
Sipati picha dereva wa gari alikua katika hali gani
 
Duh jongoo kainuliwa na mti wake hapo lazima kuna mtu aliainzia akasahau kutoa lock za kontena
 
ukute hapo meli inapaswa iondoke,na lock zimegoma kufunguka..

halafu kontena lina Mali muhimu kama...vipusa,madawa haramu,magogo ama makinikia hata faru john..n.k

uamuzi mgumu hauepukiki
 
Watu wanacheza na mamilioni yaani huyo operator anaona kawaida tu.
Hapo kamfanyia kusudi hajatoa lock za kontena.
 
Watu wanacheza na mamilioni yaani huyo operator anaona kawaida tu.
Hapo kamfanyia kusudi hajatoa lock za kontena.
Hivi hapo ni kosa la operator au dereva wa truck?

Anaetakiwa kufunga na kufungua lock za kontena ni nani?
 
Kwenye pini huwa kuna kola inayo vaa kwenye fifth wheel huwa sio kitu cha kuchomoka kirahi, napia kama operetta yupo makini asingeweza kulifikisha juu kiasi hicho nahapo huwa panakuwa na madereva wengi kelele huwa zinapigwa sana sio mara moja nimesha shuhudia dereva kasahau tweest lock
 
January 2018 Kuna Lory Mali Ya Bandari Liliingia Bahari Hapo Hapo Nadhani Ndiyo Hapo Walikuwa Wameliopea Baharini

Inasemekana Lilikosa Breki
 
doh,kwahiyo lory na ubabe wake wote limeninginizwa juu.
 
January 2018 Kuna Lory Mali Ya Bandari Liliingia Bahari Hapo Hapo Nadhani Ndiyo Hapo Walikuwa Wameliopea Baharini

Inasemekana Lilikosa Breki
Hapana malory ya Bandari hayaingii huko. Wewe utakuwa unazungumzia lile lililokuwa linapakua mzigo kwenye ro ro ya Messina. Ilikuwa berth namba tano kama sikosei
 
Hapana malory ya Bandari hayaingii huko. Wewe utakuwa unazungumzia lile lililokuwa linapakua mzigo kwenye ro ro ya Messina. Ilikuwa berth namba tano kama sikosei


Sawa
Mkuu
Maana Nilidhani Ndiyo Hilo
 
Sawa
Mkuu
Maana Nilidhani Ndiyo Hilo
Ile ajali isingekuwa diver mmoja aliyekuwa anapiga mswaki kwenye tug moja la kijani la TPA ambalo lilikuwa nyuma tu ya meli hiyo, basi dereva wa Lorry lile angekufa maji
 
Hii imetokea lini? Operetta sio mwangalifu kabisa huwezi kunyanyua juu kiasi hicho usione na gari inakuja, na istoshe kwenye line huwa magari ni mengi uchunguzi wa kweli ufanyike na haki itendeke,ila ticts huwa ni wanyanyasaji sana tena kwao mteja ndio huwa anakosa.
Huku ni kufanya kazi kwa mazoea mkuu,hii inamaanisha jamaa alijua ni kama kawa so hakutaka kuhakiki.
 
Mbona kama ni uongo.....icho kichwa cha scania lazima kingeachia tu kwenye ule muunganiko na tela
Ule muunganiko ni zaidi ya lock haiwezi kuachia ata kwa bahati mbaya. Umewahi kuona semi imeanguka na horse ikachomoka ikaacha trailer yake!????? Hapana
 
Ha ha ha ubabe wake ni kwa daladala na bodaboda.
Halafu mkuu kumbuka kila mbabe ana mbabe wake.
Umenichekesha sana. Hivyo vilorry ubabe wake nchi kavu tu huku baharini ni kamzigo kadogo hako. kwa mfano meli za kubebea magari zenye urefu wa mita mia mbili inaweza kushusha vilorry hivyo elfu mbili au elfu tatu kwa bandari hii tu na magari mengine bado yanaenda kushushwa bandari zingine
 
Back
Top Bottom