Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Hoja nzuri, Lkn Nadhani hao ni wale wa kuzaliwa hivyo.Kwahiyo nikimchukua kimbaumbau mkorofi, akala akanenepa anageuka kua kibonge mzembe?
Tabia na maumbile wapi na wapi?
Hoja nzuri, Lkn Nadhani hao ni wale wa kuzaliwa hivyo.Kwahiyo nikimchukua kimbaumbau mkorofi, akala akanenepa anageuka kua kibonge mzembe?
Tabia na maumbile wapi na wapi?
Ubishi maana yake nini?Ubishi jadi yako ety???
Insta babe nimenepa jamaniinsta babe ww ukibonge umeupata lini kwani![]()
alafu sitaki uniambie kuwa hadi sasa hivi unapokaa mvua hainyeshi
hahahah.... nimekuona juz tu insta babe upo vile vile bhana ww siyo kibongeInsta babe nimenepa jamani
Hahahhaha mvua kwetu sasa hivi kila siku inapiga
hahahah.... nimekuona juz tu insta babe upo vile vile bhana ww siyo kibonge



hahaha.... yani nilivyorud kitu cha kwanza nilikunyatia kukuona... nikaona upo vilevile insta babe
Umeanza mambo zako kwahiyo haujaona kidogo nimeongezeka insta babe

Hahahahahaha bwana ebu rudi uninyatie tena nimeongezeka kiduchuhahaha.... yani nilivyorud kitu cha kwanza nilikunyatia kukuona... nikaona upo vilevile insta babe
sema tu umezidi kunona nahisi vyuma vilaini sana kwako![]()
Kama hii ni kweli Niko on way kuepukana fitina yaani ndizi tu ushasolve mgogoroHuenda ni kawa sawa ama la ila tutashea idea pamoja hawa ni viumbe wawili tofauti ebu ona sifa hizi
VIMBAUMBAU
(a)Ni wakorofi hatari
(b)Wana fitina kama ngedere
(c)Wasafi kupindukia
(d) Hawaoni aibu kuzozona na mumuwe
(e)Wepesi kukasirika
(f) Vigumu kulia, macho yanakuwa mekundu ,kanaongea povu kama lote
(g) Hawatongozwi sana so kuchepuka sio rahisi
(h) Wanajua kubana matumizi na ni wacahapa kazi
(i) wengi hawajiamini wanaishi kwa hisia
(J) Havizeeki kirahisi, mtu wa miaka 40 bado binti kabisa
Etc etc………
VIBONGE
(a) Wazembe hatari
(b) Wanajua kubembeleza
(c) Hawana mambo mengi muda wote kucheka tu
(d) Usafi ni changamoto wengi wachafu
(e) Mkikorofishana, ukitoka nje ukaja na ndizi ugomvi unaisha(wanapenda kula)
(f) Kubana matumizi ni changamoto wanajiachia sana
(g) Wanajiamini sana
(H) Wanazeeka haraka
Ongezeni sifa
Tafiti zinasema waliooa vibongo wanaishi maisha marefu Zaidi ya wale waliooa vimbaumbau😀😀😀😀
Haaha..tumezoea kujiita hvyo namuita dogo anaiita dogo..yaan hawez na siwez kumuita baba fulan..aku..hata ukweni tunaitanaga hvhv wanashangaa tu ..lol
tatizo lenu mko busy mno, afu mnachukulia life serious kinoma. kuwanyima waume zenu ni kawaida.Na sisi wa kawaida tunatabia gani
Duuuuuuuh kumbe!tatizo lenu mko busy mno, afu mnachukulia life serious kinoma. kuwanyima waume zenu ni kawaida.
😂😂😂 Wengi tupo hivyo![]()
![]()
.... Nina kibonge mmoja nikichelewa kurudi tuu lazima niinunue kuku nusu na chips au ndizi na Serengeti light baridi, hata kama ni saa saba usiku ataamka kugonga....