vimbaumbau vs vibonge(utaoa yupi?)

vimbaumbau vs vibonge(utaoa yupi?)

Umenikumbusha Kuna Kibonge Fulani Nilienda Nae Home Issue Ikawa Hapiti Mlangoni, Dah!! Yaani Nilimkosa Hivi Hivi.
Mademu awanene Mungu Anawaona.
,
 
Kwahiyo nikimchukua kimbaumbau mkorofi, akala akanenepa anageuka kua kibonge mzembe?

Tabia na maumbile wapi na wapi?
hakuna kimbaumbau anayenenepa hata ale kiasi gani, ukiona ananenepa ujue ni kibonge aliyekuwa na dhiki kwao.
 
Uchambuzi mzuri na kuna kaukweli humo, basi wacha tuwapendi wale wa kati kati...
 
Madude wembamba wanagubu sanah, ukiwa nae mbina utajuta.

Ila vibonge anhaa ukimuudhi ukimchukulia Chips kidali swaaafi
 
Back
Top Bottom