vimbaumbau vs vibonge(utaoa yupi?)

vimbaumbau vs vibonge(utaoa yupi?)

Umenikumbusha Kuna Kibonge Fulani Nilienda Nae Home Issue Ikawa Hapiti Mlangoni, Dah!! Yaani Nilimkosa Hivi Hivi.
Mademu awanene Mungu Anawaona.
,
 
Kwahiyo nikimchukua kimbaumbau mkorofi, akala akanenepa anageuka kua kibonge mzembe?

Tabia na maumbile wapi na wapi?
hakuna kimbaumbau anayenenepa hata ale kiasi gani, ukiona ananenepa ujue ni kibonge aliyekuwa na dhiki kwao.
 
Hahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23].... Nina kibonge mmoja nikichelewa kurudi tuu lazima niinunue kuku nusu na chips au ndizi na Serengeti light baridi, hata kama ni saa saba usiku ataamka kugonga....
 
Yan kibonge kinaweza kulala ata msikitini au ata njian kikiwa kinatembea[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uchambuzi mzuri na kuna kaukweli humo, basi wacha tuwapendi wale wa kati kati...
 
Madude wembamba wanagubu sanah, ukiwa nae mbina utajuta.

Ila vibonge anhaa ukimuudhi ukimchukulia Chips kidali swaaafi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]namba E umenigusa..ni kwl jaman..mm usk hubby akija na nyama ya mbuzi akiambia tu Dogo nimekuletea nyama ya mbuzi usingizi unaondoka wooote[emoji23][emoji23][emoji23] khaa[emoji848]
Mumeo anakuita dogo[emoji2][emoji2]
 
Na ww unatafunwa kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu niulizie sisi vibonge tunaruhusiwa kucomment
insta babe ww ukibonge umeupata lini kwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

alafu sitaki uniambie kuwa hadi sasa hivi unapokaa mvua hainyeshi
 
Back
Top Bottom