Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
duh, wewe ivuga unamuita mh. Ndugai mama???
katumwa na makinda huyu
duh, wewe ivuga unamuita mh. Ndugai mama???
Teh teh ndiyo tz yetu ala ala usijipe presha punguza jazba teh ulipiga kura? LolHivi hawa wabunge au wasagaji? Uvaaji huu hasa kuvaa vimikufuu hadi miguuni ni uhuni na uvaaji wa machangudoa. Ndo tatizo la viti vya upendeleo kwa wanawake kila mtu anaaingia bungeni wanaaishi kuchukua posho tu hakuna chochote wanacho changia .
Pumbavu zao wanakula ela zetu tu
Wabunge wote wanawake waanze kuvaa namna hii katika vikao vyote vya Bunge.
maana yake ni kuwa wanapiga miguu yote miwili kama LAMPARD
Kuna picha za hivyo vimini?
Yeye anataka wavaaje wakati walipata nafasi hizo kwa kuwavalia mipasuo ma-boss wao, walipotamani mapaja ndipo wakaona ni bora wawasogeze bungeni ili wawe wanakula ki-urahisi. Amimi usiamini lakini utaelewa tu mantiki ya vimini hivyo.amewatolea uvivu wabunge Wanawake huku akiwaasifu wanaume kwa kufuata kanuni ya mavazi na kuwasisitizia wa kike wataendelea kurudishwa mlangoni
Vidude hivyo ni alama kuwa bado kuku wageni (KUKU WAGENI HUFUNGWA KAMBA MIGUUNI). Pia ni ishara kuwa tayari walishawahiwa kwa siku hiyo
haya mavazi hayaendani na hadhi zao.lakini mavazi hayo wakivaa watoto wa form two tungeona kawaida.
amewatolea uvivu wabunge Wanawake huku akiwaasifu wanaume kwa kufuata kanuni ya mavazi na kuwasisitizia wa kike wataendelea kurudishwa mlangoni
haya mavazi hayaendani na hadhi zao.lakini mavazi hayo wakivaa watoto wa form two tungeona kawaida.