Si mimi ni wao walivyovipanga na vile waru hawajawahi kuona kifaru mtaani ile hofu tuu tarehe 29 hiyo kila mtu anampigi ndugeye cm kuwa isitoke nyumbani😆Usitie hofu wanaotaka haki zao zitekelezwe kwa manufaa ya nchi. Kupiga kura ni hiari, wataenda wenye interest za kupiga kura. Hivyo vifaru unadhani ni vya kupambana na waandamanaji wasio na silaha? Usitishe wananchi hawatishiki
We mjingaJinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
Au sioUpumbavu mtupu ! Hayo yote ni kuwatishia wananchi tusiandamane kudai haki yetu, Kama ni wanaume si wamfurumushe Samia aachie kiti cha urais, wamkamate bwana Kikwete, Rostam, Nchimbi, Abduli na wahuni wengine ? Mbwa koko tuu hao, lakini hawana lolote.
Kabisa mkuu yani hata wasipopigwa ile polisi kupita tuu waru wanafyata mki nyuma kama mbwa mwogaNyumbu hatulizwi na kifaru , Nyumbu anatulizwa na fimbo tu, wa Tz wengi ni Nyumbu kwahiyo huwezi kuua sisimizi kwa nyundo ni matumizi mabaya ya nguvu
Hivyo vifaru vinaendeshwa na watanganyika na adui yetu NO1 siyo mtanganyika...hivyo kuna kitu kinaitwa reverse gear...usije kushangaa hivyo vifaru kuelekea ikulu na raia wakiwa juu yakeJinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
Tuonyeshe picha za hizo vifaru...unamdanganya nani wakati Lugalo siyo kikosi Cha vifaru...na vimefuata nini pale...wakati siyo mahali Pao...Jinsi vilivyopangwa huenda viko tayari kwa lolote chochote
ewe mtanzania siku ya kura kapige kura rudi nyumbani kwa amani msije sema sijawaambia
Si mimi ni wao walivyovipanga na vile waru hawajawahi kuona kifaru mtaani ile hofu tuu tarehe 29 hiyo kila mtu anampigi ndugeye cm kuwa isitoke nyumbani