Vile mashauzi yalivyoniumbua

Vile mashauzi yalivyoniumbua

Pole mkuu, Kuna harusi nilihudhuria miezi 2 iliyopita, sasa MC kaita mdada aliyependeza akafungue champagne,, mara paap kanyanyuka mdada na mashauzi kama yote, alikuwa kashaanza kulewa, sasa kumbe alilowana km Ni hivi obviously alienda toilet akajiswafi na vuzi lake maji yakalowesha au
Kumbe mna roho mbaya hadi wenye kwa wenyewe mie nilijuaga roho mbaya kwetu tuu wanaume
 
Tatizo kubwa wanawake wa kibongo kila dakika alipo hasa mabinti, anawaza, K yangu hivi K yangu vile,, yaani mawazo hayaendi mbali,,
Wanawake wa kizungu hilo hawana
Kumbe nawe umeliona hilo yaani wanawaza sana ngono hawa wanawake wakibongo ila sasa waombe hiyo mbususu wanaigeuza kitega uchumi
 
Kitaa nilichohamia nikitoka kwangu nyumba ya tatu kuingia Barbara kubwa asubuhi wa mama wapo nje wanafanya bizness zao,week ya Kwanza yote nilikua naaamkia,Kuna siku nimeamkia bwana napiga hatua tatu mbele nasikia wanasemezana kwa sauti ya chini "huyu Kaka si mtu mzima kabisa anaamkia amkia tu " hahaha NIMEBADILI NJIA
Waliona uwatendei haki, walitaka uwatongoze
 
Nimependa hapo mwishoni.. Wakaka kwenye mambo yetu wanatustiri sana..

Mimi mwenyewe Mwezi ulioisha nipo kwenye heka heka zangu.. nilikuwa nimevaa gauni..Kumbe kwa chini zipo imeachia ila juu haina shida.. Gauni zile za kuvaa na mkanda..

Mara ghafla sina hili wala lile nimeingia Duka moja ni Mkaka anauza.. Uzuri tulisalimiana vizuri tu.. ile naingia kugeuka akaniambia Dada hiyo gauni yako imeachia.. Kushika ilipoachia sasa.. Nilichoka.. ila Mkanda niliokuwa nimevaa ndiyo ulibana pasionekane kwa haraka..Kilichofuata ilikuwa kuangalia namna ya kuitengeneza.. Ila ile hali ilinikosesha raha nikijiuliza muda iliyoachia na watu ni wengi kiasi gani wameniona..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine kwenye mihangaiko wanaweza kukuona na haina shida sana kama hamfahamiani,ishu ni smartphones siku hizi,unashangaa umepigwa picha bila kujua na kurushwa mtandaoni
 
Roho zetu mbaya hazifanyi nyie kuwa watakatifu tupo kundi moja la wadhambi
Kuna siku moja nimetoka kazini mapema ,Sasa mitaa ya home kuna glocery si mbali na home ,nikasema ngoja nishtue na mbili halafu niende home ,akatokea msichana akaagiza Savannah 3 ,nikamsemesha hajibu kabisa na nyodo,na nilitaka kumwuliza mbona sijawahi kukuona huu mtaa unaishi wapi ,baadaye narudi home namkuta kumbe alikuja kumtembelea rafiki yake,aisee kuniona alikosa pozi,Ila nilijifunza kitu ,ningemjibu vibaya ndo ningeharibu zaidi
 
kuna siku moja nimetoka kazini mapema ,Sasa mitaa ya home kuna glocery si mbali na home ,nikasema ngoja nishtue na mbili halafu niende home ,akatoe msichana akaagiza Savannah 3 ,nikamsemesha hajibu kabisa na nyodo,na nilitaka kumwuliza mbona sijawahi kukuona huu mtaa unaishi wapi ,baadaye narudi home namkuta kumbe alikuja kumtembelea rafiki yake,aisee kuniona alikosa pozi
😂😂😂😂, Alikuja kumtembelea rafiki yake ambae ni mke wako? Eeeh lazima aliona usiku mfupi
 
Kuna kipindi cha kiangazi kimoja mwaka 2017 kama sikosei, Tulikua tumechill na wadau maeneo ya Sokoni tunaendelea kupiga biashara sasa kama mnavyojua Soko halikosi wezi,

Akatokea hyo mdada anatembea Catwalk bila kujua nyuma anafatiliwa na jizi linalojulikana likiwa linamendea simu iliyo ndani ya pochi yake iliyokua haijafungwa zipu.

Basi katika harakati za kumuokoa tukamuita Bidada bidada eee Akagoma kutusikiiliza akfyonza tu akasepa kilichomtokea baadae anapita pale pale analia kwamba wamemuibia Nilibaki na wadau tunamcheka kwa kukataa kusikiliza.
 
Mi ni enzi hizo niko primary ila sijasahau hadi leo.

Nakumbuka nilikua nachapwa sana ishu ya kutochomekea shati. Asubuhi moja nikaona ili kusolve tatizo acha nichomekee kwenye chupi, hizi za zamani ambazo mnati wake pale kiunoni unakaza kinoma.

Sasa bwana kumbe kaptula imeshuka kitambo na watu wanakaona kachupi kangu kitambo sana na hawaniambii wanaishia kucheka tu, nikaja kuambiwa baadaee na dada flani kua wewe chomekea viziri, daah kucheki chupi limepanda juu na kaptula imeshuka na sikuhisi kitu mda wote na mda ananambia tulikua assemble aisee niliumbuka atari.
 
Kero ya kyupi ni kwenye mikunjo ya paja, ukiwa na mwili kidogo, huwa inakera Sana, tofauti na tight
Niliwahi kua kwenye mahusiano na dada mmja Sasa ikawa kila nikienda kula mbususu nakuta hajavaa kyupi...siku moja nikamuuliza kwa nn huvaagi kyupi akanambia Kama ninataka avae kyupi Basi ahamie kwangu..! Nikauliza kwa nn?

Akasema akivaa kyupi Sasa ule upande unaoshikilia mbususu isipotee akiguswa tu na hyo kyupi anataka mpini Mara moja Yani akivaa kyupi anakaa tyari tyari inalowa yenyewe tu.

Hvi kweli watu wa hvi wapo tofauti na huyu niliekutana nae au alikua na pepo?
 
Back
Top Bottom