History-Victory
JF-Expert Member
- Sep 11, 2021
- 325
- 737
Nimechora hadi picha kuna wanawake wamejaaliwa bwana dah.
Alinisaidia pia..
Hapo unatamani ungeona wewe![]()
Alinisaidia pia..
Hapo unatamani ungeona wewe![]()
😂😂😂 muendelee kutusitiri..Nimechora hadi picha kuna wanawake wamejaaliwa bwana dah.
Mbaya zaidi ukute kalio huna! Dah pole SanaIla tbh, nilijifunza kitu kikubwa sana siku ile,
anyways, nimejikuta tu nashea.!! Uliwahi aibika mbele za watu.? Ilikuwaje.?
Akili zenu zinawazaga mtongozo tu.Ila hizi mambo zetu wadada za kuignore na kuringa tukiitwa barabarani na watu tusiowafahamu sometime sio kabisa
Imewahi nitokea nakumbuka enzi za chuo hiyo siku weekend tumetoka hostel na shosti yangu lengo tukatafute msusi ila tukaenda mtaa ambao hatuufahamu vizuri.
Sasa tuko busy tunabahatisha njia tukapita sehemu wakaka wamekaa kama wa4 hivi na ilikua kama garage hizi za mtaani tu ambazo sio rasmi wakawa wanatuita aah tukakaza huku tunaambiana hao vipi kutuita ita hamna kuitika! Lahaulaaa kumbe tulipokua tunaelekea mbele hakuna njia inatokahiyo njia ilikua inaenda ishia nyumbani kwa mtu! Kufika mbele hatuoni njia yaan kwanza tulijikuta tunacheka na aibuu maana tutapita vipi pale na tumegoma kupokea salamu zao.
Ikabidi turudi na kukutana nao tena tukawasalimia kwa aibu yaan walitupa maneno kibao tukajikaza na kuwauliza njia wakatuelekeza tukaendelea na safari yetu.
Kiukweli tangia siku hiyo kiburi barabarani niliweka pembeni salamu za watu naitikia vema na kwa adabu.
Sawamuendelee kutusitiri..

😅😅😅😅Pole halafu safi na Kisha koma!. Ndo muache ubishi mnajionaga Sana nyie wadada tena ningalikuwepo ningelipanda nawewe hiyo gari nikautangazie uma humo garini..🤣
🤣🤣🤣🤣 Daah!! Eti Tako linaonekanaUkiona watu wanakushangaa Sana usivimbe au kuringa unaweza kudhani umependeza au umewavutia Sana kumbe wenzio wanakushangaa nguo imchanika Tako linaonekana .
Huyu mwamba n mpambanaji hakujali kizuiz na changamoto aliyokutana nayo n kusonga mbele tuKuna mshkaji wangu anaishi Kawe. Nishawahi kuishi kwao kwa zaidi ya mieizi miwili kwahiyo nazijua njia za maeneo hayo vizuri tu. Kisha nikaondoka Dar kwa zaidi ya mwaka nilivyorudi tena Dar nikawa naishi kwetu sasa nikapanga kwenda kumtembelea mshkaji.
Siku imefika nikafunga safari nikaelekea Kawe. Kipindi hicho wimbo maarufu ni Prakatatumba wa Cabo Snoop na nilivaa kama mshkaji. Supra, jinzi chupa (enzi hizo haziitwi model), halafu jinzi inaingizwa ndani ya supra na fulana nikachomekea.
Nikafika sehemu ambayo ina kibaraza natakiwa niambae kufuata kibaraza kisha nikutane na kichochoro halafu hiko kichochoro kimekunja kulia halafu hapo ndo kinitoe kwenye njia pana ndiyo nikute uwanja anapokaa mshkaji.
Kwenye kibaraza nikakuta mabinti na wanawake wanasukana, nikawapita mwendo mdundo. Nikaingia kichochoroni nikakunja kulia nakuta kumezibwa kwa michongoma. Nikafikiria mwendo niliowapita pale nikaona kurudi siyo kweli na nilivyovaa itakua aibu.
Nikaparamia ile michongoma.
Kumbe katikati waliweka na miti ili michongoma isimame.
Nikakomaa. No backing down hapa.
Paramia na teke kwa mara ya pili pakalegea. Nikajipenyeza penyeza nikafanikiwa kupita.
Bwana wee nilijichana chana na ile miiba maeneo ya usoni na mgongoni. Fulana imechafuka kwa vumbi.
Did I learn anything? No. Am the same nigga who is shy kusalimia kundi la wamama.



ilaa watu...Ahahaha unarudi hadi viatu umevuaAu upande wa pili angekutana na ulinzi shirikishi "mbwa" wanamsubiri kwa hamu...![]()



Niliwahi taka kuruka kwenye daladala kama makondakta wanavyofanya,aisee siji sahau namna nilivyolamba lami,na ilikua mchana kweupee.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Nimependa hapo mwishoni.. Wakaka kwenye mambo yetu wanatustiri sana..Pole mkuu, Kuna harusi nilihudhuria miezi 2 iliyopita, sasa MC kaita mdada aliyependeza akafungue champagne,, mara paap kanyanyuka mdada na mashauzi kama yote, alikuwa kashaanza kulewa, sasa kumbe alilowana km Ni hivi obviously alienda toilet akajiswafi na vuzi lake maji yakalowesha au alianza breed, Sina hakika maana rangi ya nguo ilikuwa maroon,, watu wakamuita ili kumzuia, dada akahisi wanamshangilia yaani ndo biize kubinua mgongo anacheza kwa madoido,,, aibu niliyopata siku ile Kama ndo mie Yani
By the way, tangu nilipopataga breed katikati ya hadhara na mie sinaga kuumwa tumbo, Sina hili Wala lile,, nachoshukuru tu nyuma yangu alikuwepo mkaka naefahamiana nae aliniita taratibu akasema umechafua nguo yako, akavua sweta, nikajifunga, nilipata fundisho kubwa mno nilipunguza kabisa mashauzi kwa wakaka, hivyo hutokea unapita sehemu hadhara inakupa umakini wao,, Cha Kwanza huwa najiwazia nguo,, ni zipu Kama ya mtoa mada, nikijikagua akilini nikaona niko poa najua wadau wanashangaa uumbaji wa Mungu tu
Wanaume mna roho nzuri Sana katika hizi ishu mbarikiwe mno huwa mnatusitiri Sana kuliko wanawake wenzetu, anakuona unaaibika ila ndo kwanza anamuonyesha na mwenzie
Itakuwa nzuri hongera sanaAsee binafsi nikiitwa njiani ntasimama niskilize sababu ya kuitwa..
Kuna siku nlikua natembea njiani sina habari.. kuna kaka alikua anakuja mbele yangu, akanisimamisha akanisalimia kama ananijua nkamwitikia vizuri tu (nna haiba ya ku smile everytime).. akaniambia dada chupi yako nzuri nkashtuka kaonaje chupi yangu huyu? Kuja kujiangalia zipu ya suruali ipo wazi
nkacheka nkamshukuru nkaifunga nkaendelea na safari.
Sa nkawaza ningeringa ningechunguliwa na wangap sku iyo![]()
Hii kusalimia wamama hata mimi sipendi, unaweza jikuta umekisalimia kitoto kidogo chenye umbo kubwa.Kuna mshkaji wangu anaishi Kawe. Nishawahi kuishi kwao kwa zaidi ya mieizi miwili kwahiyo nazijua njia za maeneo hayo vizuri tu. Kisha nikaondoka Dar kwa zaidi ya mwaka nilivyorudi tena Dar nikawa naishi kwetu sasa nikapanga kwenda kumtembelea mshkaji.