Vile mashauzi yalivyoniumbua

Vile mashauzi yalivyoniumbua

Nimependa hapo mwishoni.. Wakaka kwenye mambo yetu wanatustiri sana..

Mimi mwenyewe Mwezi ulioisha nipo kwenye heka heka zangu.. nilikuwa nimevaa gauni..Kumbe kwa chini zipo imeachia ila juu haina shida.. Gauni zile za kuvaa na mkanda..

Mara ghafla sina hili wala lile nimeingia Duka moja ni Mkaka anauza.. Uzuri tulisalimiana vizuri tu.. ile naingia kugeuka akaniambia Dada hiyo gauni yako imeachia.. Kushika ilipoachia sasa.. Nilichoka.. ila Mkanda niliokuwa nimevaa ndiyo ulibana pasionekane kwa haraka..Kilichofuata ilikuwa kuangalia namna ya kuitengeneza.. Ila ile hali ilinikosesha raha nikijiuliza muda iliyoachia na watu ni wengi kiasi gani wameniona..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweli!

Sasa jamani....
 
Nimependa hapo mwishoni.. Wakaka kwenye mambo yetu wanatustiri sana..

Mimi mwenyewe Mwezi ulioisha nipo kwenye heka heka zangu.. nilikuwa nimevaa gauni..Kumbe kwa chini zipo imeachia ila juu haina shida.. Gauni zile za kuvaa na mkanda..

Mara ghafla sina hili wala lile nimeingia Duka moja ni Mkaka anauza.. Uzuri tulisalimiana vizuri tu.. ile naingia kugeuka akaniambia Dada hiyo gauni yako imeachia.. Kushika ilipoachia sasa.. Nilichoka.. ila Mkanda niliokuwa nimevaa ndiyo ulibana pasionekane kwa haraka..Kilichofuata ilikuwa kuangalia namna ya kuitengeneza.. Ila ile hali ilinikosesha raha nikijiuliza muda iliyoachia na watu ni wengi kiasi gani wameniona..

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana, inasumbua mno kisaikolojia unawaza wangapi wamekuona, unawaza underwear uliyovaa mtikisiko wa mwili nk,, ndo hivyo tuwasalimie tu kwa kuheshimiana ili walau kupunguza makali ya aibu
 
Ha ha ha...
Imagine hiyo siku ilikuwa inaonekana kabisa... Halafu akaniambia una bahati

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha na hili joto niwe mkweli pichu siivai hata nikiwa naenda mahangaikoni naweka tight tu km nguo ni nyepesi sasa sijui nitainamishaje kichwa hiki siku nikipata ajali ya namna hiyo
 
Umenikumbusha zamani kuna mdada alikaa vibaya nikamfata kumwambia kama amekaa vibaya.(chupi inaonekana) kumkaribia namwita dada alifoka huyo nenda kanyonye huko unataka nitongoza nini?

Duh nikamwambia chupi nyekundu ulovaa watu wanaiona aliruka huyo. machali walibaki kumwambia papuchi yako inaonesha tamu. Baadhi ya wanawake wakiitwa akili zao wanaona wanataka kupewa mtongozo tu.

Lunatic
Hii kuna dada mmoja ni wamakamo aliniambia nikanyonye nilimuwekea nadhiri nitamkaza siku aliyoingia 18 nilimkaza yule dada mpaka leo anakikumbuka kile ktombo
 
Back
Top Bottom