Vikosi vya polisi vikiiba westgate mall

Vikosi vya polisi vikiiba westgate mall

Kwa style hii serikali ndio iliyofanya ugaidi ule, wale madogo ni amateurs kwenye ugaidi hata jinsi walivyoingia na ku-behave, kumbe waokoaji walikuwa wanaiba ma htc one, galaxy, iphone, hii aibu sana. serikali ilikaa na hao watoto wanne siku nne kumbe yenyewe ilikuwa inapora mali badala ya kuokoa maisha ya raia wake.
 
huyu mtangazaji anavyoongea utadhani anajifunza hii lugha.
Nalog off
 
Kuna link moja facebook nimesoma wamevunja makabati ya display wameiba dhahabu simu ela you name it kwenye maduka ya hiyo mall...what a shame...

Ndio maana watu wengi walikufa...wao walikuwa busy kuvunja na kupora
 
Hii hatari nadhani kenya inahitaj kujiweka sawa kiulinz wanashida . Ingekuwa polic sawa yani na jeshi tena
 
Kuna maswali mengi sana ambayo hayana majibu, nahisi katika hizo siku chache za kuzima hilo shambulizi kuna wizi mtakatifu ulifanyika katika maduka mbali mbali ndani ya hiyo mall hata kwenye cash registers pia. Ukweli sijui kama utakuja julikana.
Unajua inauma sana bro . Nimeshangaa hata wale waokoaji wa mwanzo wa kimataifa waliondolewa na kuambiwa jeshi litacontrol everything. Ukiangalia vizuri walikua wameshawadhibiti magaidi, soooooo sad na kumbe ni wataalam wa kuokoa kwenye majanga ya dizaini hii. Sasa inashangaza kuona kuwa nia ya hawa wajeshi ilikua hii au........ mmmhhh Africa bado tuna safari ndefu aisee na sijui kama tutafika. Maswali ni mengi kuliko majibu............
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna link moja facebook nimesoma wamevunja makabati ya display wameiba dhahabu simu ela you name it kwenye maduka ya hiyo mall...what a shame...

Ndio maana watu wengi walikufa...wao walikuwa busy kuvunja na kupora
Khaaaa....................
 
Back
Top Bottom