Vikosi vya polisi vikiiba westgate mall

Vikosi vya polisi vikiiba westgate mall

Last edited by a moderator:
Kha ha ha ha haaaa!
Preta hebu zunguka kipande hii kwa mawili matatu!

Mambo ya Kericho!
umeona mkuu wanajeshi na mifuko yao kama wametoka shoping wakati magaidi wapo ndani wanaswali kwa raha zao?
 
umeona mkuu wanajeshi na mifuko yao kama wametoka shoping wakati magaidi wapo ndani wanaswali kwa raha zao?

acha kuongeza chumvi na kuswali walikuwa wanaswali.. hakika majeshi ya kenya dhaifu
 
najuuuuuuuuuta kutumia mchina.
 
Aisee njaa hizi..badala ya kupambana wanaiba
 
kwa hili wazungu watatudharau milele...yaani watu weusi tunamind vitu vidogovidogo bila sababu
 
Ukute hapo wameiba biscuits na pampers
nadhani ni simu maana kulikuwepo na agent wa samsung pale..nadhani kila mtu alijitokea na mgalax wake wa ukwee..mambo a matablet nini!
 
Tuliambiwa sijui kuna magaidi wangapi,,,,,,,,, kumbe wanne tu?
 
kwa hili wazungu watatudharau milele...yaani watu weusi tunamind vitu vidogovidogo bila sababu
Yaani aibu khaaa badala ya kuokoa watu wao wanaiba tena mbele ya mtu aliyepoteza maisha BAK hebu njoo uone huku. Hawa ndio wanaolipwa ili kulinda maisha wakenya mweee. wana bahati hawaonekani sura zao mbona ingekua nomaa
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Inasikitisha !! inahuzunisha !! inaliza!! Pole kwa wafiwa wote..Pole na uponyi kwa waathirka. Siri nyingi zaidi zachipuka. God Forbid.
 
Back
Top Bottom