nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,472
- 8,131
HIZI SIO TIMU MBILI TOFAUTI, HII NI YOUNG AFRICANS. Na hiki ndicho kitu tulichokikosa msimu uliopita ambapo hatukuwa na kikosi kipana kama hivi kutokana na sababu mbalimbali kama majeraha yaani ilifika wakati kwenye benchi unamuona Damaro na Depu pekee ambao wanaweza kuingia na kubadili kitu...✍️
Msimu huu tuna vikosi viwili vizito sana na hapo bado kuna wachezaji wengine 14 wapo nje kabisa mfano Toure, Sureboy, Mwijage, Casemiro, Mihambo, Mohamed Mussa, Mahsen nk.
Msimu huu tuna vikosi viwili vizito sana na hapo bado kuna wachezaji wengine 14 wapo nje kabisa mfano Toure, Sureboy, Mwijage, Casemiro, Mihambo, Mohamed Mussa, Mahsen nk.
