841kj mafinga ..bravo coy OC ruteni muhuva noma sana jamaa alikuwa na Roho ngumu nilidoji kumbe ilikuwa ndo siku ya posho ckupata kwenye 50 inakatwa unabaki na 31 jamaa akaacha ujumbe hio 31 kama naitaka ninywe maji mengi moyo uelee ndo niifate nikaipotezeaaa
askari wa kileo ni Rais kutoa sir I za jeshi sana nahisi hata tukiwauliza idadi ya wanajeshi,silaha,ramani ya kambi na etc mtataja wote mulio komenti mjitafakari ni wepesi kununuliwa na age zenu ni 22-30
841kj mafinga ..bravo coy OC ruteni muhuva noma sana jamaa alikuwa na Roho ngumu nilidoji kumbe ilikuwa ndo siku ya posho ckupata kwenye 50 inakatwa unabaki na 31 jamaa akaacha ujumbe hio 31 kama naitaka ninywe maji mengi moyo uelee ndo niifate nikaipotezeaaa