Hapana, picha ni yako mwenyewe, unanitumia kwenye WhatsApp. Na sisi tunaweka kwenye kikombe
12000 Tu, tuletee picha yako na ujumbe au nitajie timu gani unaipenda nikutengenezee
Pamoja na kikombe, wewe unaleta picha tu na ujumbe wako , kisha Sisi tutafanya yetu.TSH. 12000/= NI PAMOJA NA KIKOMBE AU PRINTING TU?
Ndio tunatengeneza na hivyo, bei ni 15,000 kwa kikombe ,ngoja nitaweka videomnatengeneza na vile vya magic cup, ambavyo wakati wa kuweka kinywaji cha moto ndio kinaonesha picha?
Mkuu nadhani luminarc ni brand ya mtu , vikombe hivi vya sublimation ni ceramic. Nitakuwekea soon, unahitaji vingapi?Mkuu kikombe ni luminarc au porcelain?
Na subiri movie ya magic cup, nikupe kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Video hii hapoView attachment Magic Mug(144P).mp4Mkuu nadhani luminarc ni brand ya mtu , vikombe hivi vya sublimation ni ceramic. Nitakuwekea soon, unahitaji vingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, karibu piaGood luck mkuu,hua nafarijika sana nikiona mtu anatafuta riziki yake kwa njia ya halali,
God bless u mkuu.
Mkuu mnaweka picha kwenye Tiles! Nataka niweke Picha kwenye msalaba/kaburi.Kama ni shabiki mzuri. Unaweza kujipatia vikombe ambavyo vina logo ya timu ya mpira unayoipenda. Tuambia jina la timu unayoipenda kisha tukutengenezee kikombe.
Vile vile unaweza kumpa rafiki yako zawadi ya kikombe yenye picha yake au ujumbe unaotaka kumwambia.
Shabikia timu yako kiujanja zaidi
Gharama za kuprint kikombe ni TSH 12000.
Tunapatikana mwananyamala komakoma,
Au tuandikie WhatsApp 0676577548
View attachment 1043237View attachment 1043238View attachment 1043239View attachment 1043240View attachment 1043242View attachment 1043243View attachment 1043244View attachment 1043245View attachment 1043246
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nadhani luminarc ni brand ya mtu , vikombe hivi vya sublimation ni ceramic. Nitakuwekea soon, unahitaji vingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio naweka kwenye tiles, unahitaji hivi karibuni, pole kwa msibaMkuu mnaweka picha kwenye Tiles! Nataka niweke Picha kwenye msalaba/kaburi.