Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,085
- 513
Inachukua muda gani/siku ngapi.?!
Inachukua muda gani/siku ngapi.?!
Ni kwa siku moja mkuu, picha yoyote inawezekana, au ujumbe wowote unaoutakaInachukua muda gani/siku ngapi.?!
Ni kwa vikombe na sahani za sublimation, birika za udongo hazifai, maana hivi vikombe ni maalumu kwa ajili ya kazi ya kuweka picha,Ni kwa vikombe tu,je haiwezekani na kwa birika za udongo.?!
Watanzania siku hiz uzalendo "Umetujaa" sana. Sasa wazungu nao wanaobeba nguo za kimasai ama vinyago na kupeleka ulaya hawana vya kwao?Hii ni biashara kama watu wanapenda hivyo hana budi kuendana nao
Hao wanafanya utalii na wananunua hivyo kama kumbukumbu.tukirudi kwenye biashara unangalia wateja wanataka nini.Watanzania siku hiz uzalendo "Umetujaa" sana. Sasa wazungu nao wanaobeba nguo za kimasai ama vinyago na kupeleka ulaya hawana vya kwao?
Hata mim naona ni utumwa kuniambia nishabikie yanga au simba nikaiacha Lipuli yangu, huko yanga na simba hakuna abayenifahamuUtumwa huu wa kuthamini cha wasiokujua kuliko chako unawatesa sana wa Africa, Tanzania hapa hakuna mwananchi asiye na timu iwe simba au yanga, nafikiri ungeweka tu picha ya simba au yanga au mlima kilimanjaro ungepata order nyingi ila ubunifu ndio tatizo la vijana wengi Tanzania