CCM MAJI YA SHINGO
Sasa ni wazi ccm wameamuwa kuhakikisha kuwa slaa anaondoka cdm,habari nilizozipata muda huu nikuwa jk kaitisha mkutano wa dharura muda huu kujadili namna ya kujinasuwa na upinzani unaonekana kuwa tishio kwa magufuli.habari zaid zinasema imeamriwa hata itumike hata bajeti nzima ya nchi ili dr slaa apewe ili mradi aitose chadema,dr anapita kwenye majaribu makubwa sna muda hu
Chama changu CCM sasa mnacheza ngoma ya UKAWA, mkubali, mkatae!
Kasi ya kumnandi mteule MAGUFULI imepungua kwa asilimia kubwa sana!
CCM MAJI YA SHINGO
Sasa ni wazi ccm wameamuwa kuhakikisha kuwa slaa anaondoka cdm,habari nilizozipata muda huu nikuwa jk kaitisha mkutano wa dharura muda huu kujadili namna ya kujinasuwa na upinzani unaonekana kuwa tishio kwa magufuli.habari zaid zinasema imeamriwa hata itumike hata bajeti nzima ya nchi ili dr slaa apewe ili mradi aitose chadema,dr anapita kwenye majaribu makubwa sna muda hu
CCM MAJI YA SHINGO
Sasa ni wazi ccm wameamuwa kuhakikisha kuwa slaa anaondoka cdm,habari nilizozipata muda huu nikuwa jk kaitisha mkutano wa dharura muda huu kujadili namna ya kujinasuwa na upinzani unaonekana kuwa tishio kwa magufuli.habari zaid zinasema imeamriwa hata itumike hata bajeti nzima ya nchi ili dr slaa apewe ili mradi aitose chadema,dr anapita kwenye majaribu makubwa sna muda hu
CCM MAJI YA SHINGO
Sasa ni wazi ccm wameamuwa kuhakikisha kuwa slaa anaondoka cdm,habari nilizozipata muda huu nikuwa jk kaitisha mkutano wa dharura muda huu kujadili namna ya kujinasuwa na upinzani unaonekana kuwa tishio kwa magufuli.habari zaid zinasema imeamriwa hata itumike hata bajeti nzima ya nchi ili dr slaa apewe ili mradi aitose chadema,dr anapita kwenye majaribu makubwa sna muda hu
Habari ni UKAWA, CHADEMA sijui CUF ni baadaye saaaaana.
Sasa hapa maana yake ni kuwa aondoke Mbowe, aondoke Slaa, aliondoka Zitto, aondoke ..... Chadema kwanza.
Ohhh, hata Chadema iondoke, hatujali sana. Hapa mambo ni UKAWA. UKAWA FOR LIFE.
Mlimpuuza endeleeni hvyohivyo