Vikao vinaendelea ikulu muda huu

Status
Not open for further replies.

hahahahaha poleni sana ccm hapo mnaweza kupotea zaidi kwani atawamaliza
 
Nambar One yuko Uswis...katibu Gadafi simba alisema jana.Sijui akirudi atakwenda wapi...labda Australia.
 
Definitely false! Haiwezekani info hii ikawa kweli...
 
Kwa sasa jk yupo angani anatokea australia
 
hizo habari za uwongo ccm walishajua siku nyingi kuwa lowasa asipopitishwa atahamia chadema
 
Ni ujinga kujadili jambo pumbaza ccm hapa
 

unajua bajet ya nchi ni bei gani kenge wewe ,kama mmezingua wenyewe mwacheni slaa aondoke kumzulia kuwa amepewa pesa ni ujinga
 

Mkuu unaijua bajeti ya nchi? za kuambiwa changanya na zako kabla hujapost
 
Hii ndiyo a aaa iko kama kikombe a aaa!!!Nakumbuka wakati huu ndo Lowassa akajiuzulu. Nililia sana maana jinsi alivyokuwa anaaga uwazili Mkuu kwa kujiuzulu niliona jinsi alivyokuwa kama kondoo anayekwenda kuchinjwa. Leo nimejifunza kuwa haki ya mnyonge haikwapuliwi hovyo. Lowassa amekomaa sana na anafaa kuwa kiongozi. Kama anafanya vitu kwa utaratibu hivi!!Mungu msaidie tu maana mbea mwitu ni wengi sana
 
Mwenye huu uzi hana elimu.jk namba one yupo nje ya nchi.hawa ndonwale wale mapandikzi ya lowasa jf .
 
Kuendelee kumzungumzia mtu mliyemuona hafai CCM inajidhalilia zaidi. Bora KITEGO kiendelee na yake kama walivyoona mwanzo.
 

Dr slaa:what::banghead: hapana hiyo dhambi itamfuata mpaka kiama na naamini huyu dr nimjuaye ana hofu ya Mungu na kamwe hawezi kuwasaliti watanganyika hii roho na ishindwe katika Jina la Yesu Kristo Wa Nazareti aliye hai.
 
Habari ni UKAWA, CHADEMA sijui CUF ni baadaye saaaaana.

Sasa hapa maana yake ni kuwa aondoke Mbowe, aondoke Slaa, aliondoka Zitto, aondoke ..... Chadema kwanza.

Ohhh, hata Chadema iondoke, hatujali sana. Hapa mambo ni UKAWA. UKAWA FOR LIFE.


Ooo Glory to God.
 
hakuna mwishomwingne wa ccm zaid ya mwaka huu!hakn namna wajiandae tu maana wengne tulisha onyeshwa ma Mungu
.
 
Tumefika hapa tulipo kwa 7bu ya uzembe wa rais k***** kwa upuuzi wa bunge na wabunge na kwa upuzi wa ccm
Dr slaa hawezi kuhama chama hata ckumoja
 
Nyie wote mnaomchafua Dr Slaa ni wajinga sana.
Hata ikitokea Dr Slaa kahama CHADEMA itakuwa ni kwa kutunza heshima na credibility yake kwa jamii na sio kwa kuhongwa.
Mnaomchafua Slaa kwa malengo ya waliowatuma,mafisadi wa CHADEMA au CCM muache mara moja.Slaa anajulikana kuwa hana bei tofauti na hao mafisadi wanaowatuma!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…