Nina demu yeye ni single mother wa mtoto wa miaka miwili (kafunga mwez wa 10 ), huyu demu aliweka kijiti cha miaka mitatu baada ya wiki tatu tangu kujifungua, wiki lilopita kanambia anajiskia vibaya anahisi ana mimba, nikamwambia akapime kaenda jana kanirudishia majibu kwamba ana mimba.
Swali langu je mimba imetokeaje wakati expiring ya kijiti bado ili hali tangu ajifungue mwanae amefunga miaka miwili mwezi wa 10 au vipimo vimekosea?
Swali langu je mimba imetokeaje wakati expiring ya kijiti bado ili hali tangu ajifungue mwanae amefunga miaka miwili mwezi wa 10 au vipimo vimekosea?