Vijana wengi wenye Degree hawana ajaira

Vijana wengi wenye Degree hawana ajaira

njiampya

Member
Joined
May 5, 2014
Posts
13
Reaction score
5
Katika utafiti niliofanya nimegundua vijana zaidi ya laki moja hawana ajira, naukitaka kuthibitisha hili angalia vijana walioitwa kwenye usaili wa uhamiaji ni zaidi ya elfu kumi. Na hapo wamefanya shortlisting. Je ni wangapi ambao hawajaitwa kwenye usaili. Je ni wangapi ambao hawakuomba hizi nafasi za uhamiaji kama mimi lakini hatuna ajira. Serikali inabidi iangalie ili tatizo, maana kufika 2017, tutakuwa wapi? Sidhani kama kuna binadamu anaweza kukubali kuishi maisha magumu na huku ana bachelor degree, kila leo hajui ale nini na alale wapi?

KAZI KWENU SERIKALI
 
mkuu usiwe na wasiwasi, tanzania graduate association, itakuwa mkombozi wa wahanga wa ajira kwa nchi nzima, tunamalizia usajiri kesho wizara ya mambo ya ndani,
 
Hivi nyie mnaosoma na hayo Ma degree yenu yaani wakati mpo chuo akili yenu inafikiria nini hasa.
Wengi wanafikria kazi gani akiipata itakuwa na mainya ya kuiba,hilo bisha ila nio hali halisi.
Na ndio maana mtu akijiona ana degre mshahara wa laki tatu hataki kisa yeye msomi,sasa wewe kam msomi mbona mtaani mmejaa kibaoo haman issue kazi kupigana mizinga ya mia tano za nauli,maana hadi muhindi wa kuchoma mtu anapiga mzinga.

Fikra chanya ni kusoma kwa kujiajiri nyie mnakimbilia mjini wakati wenzenu wapo pale SUA wanatusua wanarudi kijijini ku make pesa chafu kwa kilimo.
Nenda mwenge Kuna dogo mmoja Konda ana BA pale.

Halafu nahisi wasomi mjifunze kitu,hao mnaowanona hawajasoma wana take advantage ya nyie kujiona mabwana,na ndio maana fursa wamezikalia,we unamdharau mama lishe au wale wanaotembea mahindi na machungwa njiani lakini hesabu yao wale basi ni zaidi ya mshahara wako kwenye post yako kwa mwezi labda uwe mwizi.
 
Hivi nyie mnaosoma na hayo Ma degree yenu yaani wakati mpo chuo akili yenu inafikiria nini hasa.
Wengi wanafikria kazi gani akiipata itakuwa na mainya ya kuiba,hilo bisha ila nio hali halisi.
Na ndio maana mtu akijiona ana degre mshahara wa laki tatu hataki kisa yeye msomi,sasa wewe kam msomi mbona mtaani mmejaa kibaoo haman issue kazi kupigana mizinga ya mia tano za nauli,maana hadi muhindi wa kuchoma mtu anapiga mzinga.

Fikra chanya ni kusoma kwa kujiajiri nyie mnakimbilia mjini wakati wenzenu wapo pale SUA wanatusua wanarudi kijijini ku make pesa chafu kwa kilimo.
Nenda mwenge Kuna dogo mmoja Konda ana BA pale.

Halafu nahisi wasomi mjifunze kitu,hao mnaowanona hawajasoma wana take advantage ya nyie kujiona mabwana,na ndio maana fursa wamezikalia,we unamdharau mama lishe au wale wanaotembea mahindi na machungwa njiani lakini hesabu yao wale basi ni zaidi ya mshahara wako kwenye post yako kwa mwezi labda uwe mwizi.

Ushauri mzuri sana, ila ulivyouandika tu., Tatizo.
 
Something really need to be done about this issue
 
exactly....vyuo vingi,wahitimu wengi yet nafasi za ajira ni chache kweli hii ni changamoto kwa taifa letu
 
Lowassa alishawaita hawa watu ni bomu kubwa sana
Sasa hiyo 2017 ilisema haitoka kabla tu ya 2015 mwisho mwisho litalipuka
 
Me nlvyomalza chuo mwaka jana nliona cna kaz zaid ya kulala home tu nakuwatch movies day after day.
then nkaanza kujichanganya na masela mtaania nkaanza kutembea na mafundi ujenzi kaz ya saidia fundi per day i was earning 10,000 hapo nimeshakula naenda kulala
kila cku mpaka j2 nlikuwa naenda job kujenga tiles na matofal pia

mpaka sasa nnavyoandka hi comment najua kuweka tiles na kupaka rang nyumb yeyote
so vijana tuache kuvaa tai na kuzunguka na bahasha mijin jichanganye na vijana wenzako wa mtaaan watakpa michngo ya kufanya at the same time unafind ur profesional jobs.
 
bidhaa zikiwa nyingi katika soko basi demand hushuka, kama wenye Degree wako wengi kiasi hicho basi hata uhitaji wao utashuka.. kama umegundua, madogo wengi wenye elimu level ya Certificate ndio wanaopata kazi zaidi kuliko wenye Diploma na Degree zao, taasisi nyingi hasa za kibinafsi, wanapenda mtu aanzie chini kisha wapande nae taratibu, kwa mfano leo kampuni ikamwajiri kijana mwenye Certificate ya IT katika post ya Technician, kijana huyu huyu miaka kadhaa ijayo akija kufikia hadi kuwa IT Manager atakuwa anaijua IT system nzima ya kampuni inavyo-run, ana uzoefu wa kutosha na wanajua utendaji wake maana walikuwa naye kipindi chote.
 
mie wakati napanga kusomea taaruma ya afya nilifanya hivyo makusudi nikijua kuna mahitaji makubwa sijachukua muda nikapata post sasa nyie akina bos mnaosoma ilimladi depree si rahisi kupata ajiran na mjifunze kuwa mnasomea fani ambazo zinahitaji watu
 
ujakuta mtu kamsomea mambo ya it, uhasibu hizo fani ajira zake utakuta taasisi kubwa kama muhimbili unapita mwaka mzima hawajaajiri hata mtu mmoja na wakiajiri labda nafasi 1 na vijijini haitajiki lakini nes, dk na mwalim wanaajiriwa kila mwaka kote
 
halafu nyie wenye hizo degree ambazo hazina ajira fanyeni biashara hata ya kuchoma mahindi na vibarua vya ujenzi hakuna namna sehemu peke ambapo mgeponea tena kufanyana kaz za hazi ya chini ni viwandani lakini mafisadi walishaua viwanda vyote
 
Kujiajiri ingekuwa rahisi, watoto wa vigogo wasingeenda BOT maana wao wana mitaji! Sidhani kama mtoto wa maskini aliyesoma saint kayumba anaweza pata hata mtaji wa laki tano!kila binadamu anafikra zake!!

Kijana usishindane na Ukuta utaumiza ngumi yako..Huwezi kuchagua pa kuzaliwa..
Pambana kulingana na mazingira yako..Hao wa BOT Usijisumbue nao..
Hata wewe unaweza ukajitengenezea kaBOT Kako na watoto wako...
 
Katika utafiti niliofanya nimegundua vijana zaidi ya laki moja hawana ajira, naukitaka kuthibitisha hili angalia vijana walioitwa kwenye usaili wa uhamiaji ni zaidi ya elfu kumi. Na hapo wamefanya shortlisting. Je ni wangapi ambao hawajaitwa kwenye usaili. Je ni wangapi ambao hawakuomba hizi nafasi za uhamiaji kama mimi lakini hatuna ajira. Serikali inabidi iangalie ili tatizo, maana kufika 2017, tutakuwa wapi? Sidhani kama kuna binadamu anaweza kukubali kuishi maisha magumu na huku ana bachelor degree, kila leo hajui ale nini na alale wapi?

KAZI KWENU SERIKALI


Kikwete kasema si lazima wasomi ama watu waajiriwe kwani kuna kazi nyingi TZ zinazowapa vijana utajiri kama vile usanii, uuzaji unga majuu, ujambazi, utapeli, uchangu pale Dodoma wakati wa bunge, hii yote ni fursa kwa watanzania. Kuna msomi gani ambaye Kikwete kamwalika Ikulu kumuuliza tu maswali ya kiuchumi ama maendeleo? Jibu ni hakuna mpaka uwe msanii utaalikwa ili uende kule ujivutie bangi zako na kuongelea mademu wanaojichubua kwa mshua.
 
Kikwete kasema si lazima wasomi ama watu waajiriwe kwani kuna kazi nyingi TZ zinazowapa vijana utajiri kama vile usanii, uuzaji unga majuu, ujambazi, utapeli, uchangu pale Dodoma wakati wa bunge, hii yote ni fursa kwa watanzania. Kuna msomi gani ambaye Kikwete kamwalika Ikulu kumuuliza tu maswali ya kiuchumi ama maendeleo? Jibu ni hakuna mpaka uwe msanii utaalikwa ili uende kule ujivutie bangi zako na kuongelea mademu wanaojichubua kwa mshua.
Jina tu linaonekana ni Mbishi Jinga.
Yaani ndio umechangia nini,kwa akili yako unafikiria serikali itaajiri watu wenye uelewa kama wako,kweli kazi ipo kweli.
 
Back
Top Bottom