Vijana wengi wa siku hizi wanazaliwa hawana akili

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Nimewaza sana, wakati fulani nawaza nafika mbali sana. Hivi unajisikiaje unapoishi katikati ya wapuuzi halafu wewe tu ndo una akili? Inaumiza na inatesa sana. Ni mateso ambayo sisi wengine tunakumbana nayo kila siku.

Kila unachoandika watu hawakielewi hawaelewi ujumbe mzito katika lugha nyepesi unayotumia unashangaa vijana wengi wa siku hizi wanazaliwa akili wameziacha tumboni mwa mama zao.

Duniani wanakuja bila kitu kichwani empty kabisa, hawa ndo wanachafua tu mazingira na kufanya taifa lionekane lina watu wengi kumbe asilimia 80 ni magarasa.

Umewahi kucheza karata? Mtu anaweza lamba magarasa mengi sana ila wewe ukawa na mali au madume machache tu ukamshinda ndo maisha yalivyo kwa vijana wa kitanzania.

Wengi walishaacha kufikiri na hawataki kabisa kusumbua bongo zao hivyo zimeota kutu na kufunikwa na ukungu wa ule uchafu wa kutu ya maji akili zimefubaa.

Kuna kipindi unajikuta wewe peke yako ndo unawaza na kuwazua, waliokuzunguka wanasikilizia sauti ya tumbo wanakula, wanavimbiwa wanaanza kutoa gesi na wengine kuharisha.

Wewe peke yako ndo unaumiza kichwa, wewe ndo unajiuliza tumetoka wapi, tupo wapi na tunaelekea wapi, imagine huu si ni mzigo mzito kwa mtu mmoja? Unajiangalia umebeba watu zaidi ya milioni moja unafikiria kwa niaba yao wao wapo nje wanacheza kombolela wakisubiria shujaa aje abutue.

Wewe tu ndo unajua kuwa michezo yao ni mauti yao unawaza huko wanakojificha kuna nyoka, nge, tandu na kila aina ya hatari wao hawajali hii hali, hawaoni hatari na hawana habari unatumia akili kufikiri wao wanatumia matumbo kufikiri.

Wakati mwingine unawaza mbali sana hawa miaka ile ya gharika waliponaje? Ilikuaje wakapona? Hata wakati wa Sodoma na Gomora si wangechomwa moto wawe mbolea? Unawaza hata hivyo kama wangekuwa mbolea ingeota miti yenye majani na matunda sumu.

Hapo ndo mtu unawaza tu why me? Ni usiku wa kiza kinene tunatembea bila taa watu wanapapasa hawaoni vyema.

Huwa siku zote najiuliza katika kundi kubwa la vichaa. Je kiongozi wao anakuwa na afadhali kidogo au kichaa zaidi? Hali kadhalika katika kundi la wenye akili kiongozi wao anakuwa na akili zaidi au akili hamna kabisa? Hapa ndipo ilipo tafakuri.

Hamjui mnavyotutesa sisi wenye akili hamjui tu mateso mnayotupa ni makubwa ni bora ya kutwangwa kwenye kinu kuliko mnavyotufanyia ninyi ndugu zetu ndiyo mtabaki kuwa ndugu zetu tu maana unaweza chagua rafiki lakini huwezi chagua ndugu ndugu ni ndugu yako hata kama ni taahira.

Bora tu nife, nimechoka kuwa mimi na wengine wachache ndo tunakuwa tunatumia akili inachosha sana na kuumiza kichwa inatesa moyo na akili.

Wasalaam.
 
Salute
Mkuu japo hua wanakucheka,

kukubeza na kukutukana kua huna akili, kubwa jinga kutokana na posts zako za Jf BUT ww ni moja wa watu makini mno niliopata kuwafaham humu Jf . Unajua kucheza na fasihi ndo mana vichwa maji wengi hawakuelewi.
Jf asilimia kubwa kumejaa mazuzu tena haya ni majitu mazima na ndio yanayoshinda MMU, CC na Jukwa la wakubwa. Ila ni kuwavumilia tu hakuna namna!
 
Watu wenye kuwaza kujiua mwisho hujiua kweli,lakini hawafikirii huko waendako kupo vipi?inawezekana ndio kukawa kuna matatizo zaidi kuliko uliyoyaacha duniani.fikiria mara m1 kabra hujachukua hatua
 
Sasa ukifika si utatuacha majinga mengi huku duniani? Ukijua tatizo unasolve usilikimbie
 
Pole kwa majukumu, kwa lugha nyepesi tuu jinsi ulivoelezea inachosha.

Kiufupi umewalea au mmewalea, waacge na wao wakue, waache na wao njaa iwaume hadi wakatafute chakula wenyewe.

Ukiendelea kusugua akili kwa ajili yao, siku ukiondoka kweli duniani watauana na ukoo wenu ndo utakuwa umefika mwisho.

Linda kizazi chako kisiingie kwenye hilo shimo, ni Zaidi ya ukoma.

Kasinde.
 
Tatzo unajitambua kuwa we ndo unaakilo lkn haitaki kutransfer knowledge kwa wengine............try to motivate ur friends my brother......be humble.
 
Nimekuelewa Mkuu, natamani nichambue Kwa kila paragraph, fasihi umeitendea haki, one day yes na wengine watakuwa na akili tu ni swala LA muda mkuu
 
Nimewaza sana... Wakat flan nawaza nafika mbali sana. Hivi unajisikiaje unapoishi katikakati ya wapuuzi halafu wewe tu ndo una akili? Inaumiza na inatesa sana. Ni mateso ambayo sisi wengine tunakumbana nayo kila siku.

Kia unachoandika watu hawakielewi.hawaelewi ujumbe mzito katika lugha nyepesi unayotumia.unashangaa vijana wengi wa siku hizi wanazaliwa akili wameziacha tumboni mwa mama zao.

Duniani wanakuja bila kitu kichwani....empty kabisa.hawa ndo wanachafua tu mazingira na kufanya taifa lionekane lina watu wengi kumbe asilimia 80 ni magarasa.

Umewah kucheza karata...? Mtu anaweza lamba magarasa mengi sana.ila wewe ukawa na mali au madume machache tu ukamshinda.ndo maisha yalivyo kwa vijana wa kitanzania.

Wengi walishaacha kufikiri.na hawataki kabisa kusumbua bongo zao...hivyo zimeota kutu na kufunikwa na ukungu wa ule uchafu wa kutu ya maji...akili zimefubaa.

Kuna kipindi unajikuta wewe peke yako ndo unawaza na kuwazua...waliokuzunguka wanasikilizia sauti ya tumbo... Wanakula, wanavimbiwa wanaanza kutoa gesi na wengine kuharisha.

Wewe peke yako ndo unaumiza kichwa... Wewe ndo unajiuliza tumetoka wapi,tupo wapi na tunaelekea wapi.imagine. huu si ni mzigo mzito kwa mtu mmoja?unajiangalia umebeba watu zaidi ya milion moja unafikiria kwa niaba yao.... Wao wapo nje wanacheza kombolela.wakisubiria shujaa aje abutue.

Wewe tu ndo unajua kuwa michezo yao ni mauti yao.unawaza huko wanakojificha kuna nyoka,nge,tandu na kila aina ya hatari.wao hawajali hii hali,hawaoni hatari na hawana habari.unatumia akili kufikiri.wao wanatumia matumbo kufikiri.

Wakati mwingine unawaza mbali sana... Hawa miaka ile ya gharika waliponaje? Ilikuaje wakapona?hata wakati wa sodoma na gomora si wangechomwa moto wawe mbolea?unawaza hata hivyo kama wangekuwa mbolea ingeota miti yenye majan na matunda sumu.

Hapo ndo mtu unawaza tu why me? Ni usiku wa kiza kinene... Tunatembea bila taa... Watu wanapapasa...hawaoni vyema.

Huwa siku zote najiuliza.katika kundi kubwa la vichaa. Je kiongozi wao anakuwa na afadhali kidogo au kichaa zaidi? Hali kadhalika katika kundi la wenye akili kiongozi wao anakuwa na akili zaidi au akili hamna kabisa?hapa ndipo ilipo tafakuri.

Hamjui mnavyotutesa sisi wenye akili.hamjui tu.mateso mnayotupa ni makubwa.ni bora ya kutwangwa kwenye kinu kuliko mnavyotufanyia ninyi ndugu zetu.ndiyo...mtabaki kuwa ndugu zetu tu.maana unaweza chagua rafiki lakini huwez chagua ndugu.ndugu ni ndugu yako hata kama ni taahira.

Bora tu nife.... Nimechoka kuwa mimi na wengine wachache ndo tunakuwa tunatumia akili.inachosha sana na kuumiza kichwa.inatesa moyo na akili.

Wasalaam.
Kama una akili huwezi kuumiza kichwa kuishi na wasio na akili. Yaani wasio na akili ni kama Ng'ombe, unaweza mfunga kamba shingoni na wala asitoke hapo . Yaani wewe inaonyesha una tatizo. Akili yako haitumiki ni kama gogo linasubiri kuliwa na mchwa. Pengine utaishia kutoa uhai wako kwa sababu hauna akili. Jitambue kwanza.
 
Hapa Tz hakuna ujinga wowote isipokuwa kuna Wasaka tonge .....hata wewe GuDume ukipewa u Rc Leo hii sidhani kama utaludi na Uzi wakusema 80% yavijana niwajinga ....ili mtu tujue siyo mjinga kwanza lazima awe na Uhuru wa kiuchumi....lakn kama mtu hana ki2 mfukon ..Atuwez kujua uwezo wake wa kufikiri nikias gani ....mfano dk ..Kitilia Mkumbo.
 
Nimewaza sana... Wakat flan nawaza nafika mbali sana. Hivi unajisikiaje unapoishi katikakati ya wapuuzi halafu wewe tu ndo una akili? Inaumiza na inatesa sana. Ni mateso ambayo sisi wengine tunakumbana nayo kila siku.

Kia unachoandika watu hawakielewi.hawaelewi ujumbe mzito katika lugha nyepesi unayotumia.unashangaa vijana wengi wa siku hizi wanazaliwa akili wameziacha tumboni mwa mama zao.

Duniani wanakuja bila kitu kichwani....empty kabisa.hawa ndo wanachafua tu mazingira na kufanya taifa lionekane lina watu wengi kumbe asilimia 80 ni magarasa.

Umewah kucheza karata...? Mtu anaweza lamba magarasa mengi sana.ila wewe ukawa na mali au madume machache tu ukamshinda.ndo maisha yalivyo kwa vijana wa kitanzania.

Wengi walishaacha kufikiri.na hawataki kabisa kusumbua bongo zao...hivyo zimeota kutu na kufunikwa na ukungu wa ule uchafu wa kutu ya maji...akili zimefubaa.

Kuna kipindi unajikuta wewe peke yako ndo unawaza na kuwazua...waliokuzunguka wanasikilizia sauti ya tumbo... Wanakula, wanavimbiwa wanaanza kutoa gesi na wengine kuharisha.

Wewe peke yako ndo unaumiza kichwa... Wewe ndo unajiuliza tumetoka wapi,tupo wapi na tunaelekea wapi.imagine. huu si ni mzigo mzito kwa mtu mmoja?unajiangalia umebeba watu zaidi ya milion moja unafikiria kwa niaba yao.... Wao wapo nje wanacheza kombolela.wakisubiria shujaa aje abutue.

Wewe tu ndo unajua kuwa michezo yao ni mauti yao.unawaza huko wanakojificha kuna nyoka,nge,tandu na kila aina ya hatari.wao hawajali hii hali,hawaoni hatari na hawana habari.unatumia akili kufikiri.wao wanatumia matumbo kufikiri.

Wakati mwingine unawaza mbali sana... Hawa miaka ile ya gharika waliponaje? Ilikuaje wakapona?hata wakati wa sodoma na gomora si wangechomwa moto wawe mbolea?unawaza hata hivyo kama wangekuwa mbolea ingeota miti yenye majan na matunda sumu.

Hapo ndo mtu unawaza tu why me? Ni usiku wa kiza kinene... Tunatembea bila taa... Watu wanapapasa...hawaoni vyema.

Huwa siku zote najiuliza.katika kundi kubwa la vichaa. Je kiongozi wao anakuwa na afadhali kidogo au kichaa zaidi? Hali kadhalika katika kundi la wenye akili kiongozi wao anakuwa na akili zaidi au akili hamna kabisa?hapa ndipo ilipo tafakuri.

Hamjui mnavyotutesa sisi wenye akili.hamjui tu.mateso mnayotupa ni makubwa.ni bora ya kutwangwa kwenye kinu kuliko mnavyotufanyia ninyi ndugu zetu.ndiyo...mtabaki kuwa ndugu zetu tu.maana unaweza chagua rafiki lakini huwez chagua ndugu.ndugu ni ndugu yako hata kama ni taahira.

Bora tu nife.... Nimechoka kuwa mimi na wengine wachache ndo tunakuwa tunatumia akili.inachosha sana na kuumiza kichwa.inatesa moyo na akili.

Wasalaam.
Acha kuwaza sana ya wengine na akili zao. Waza zaidi ya kwako na ujikite kuyatatua uliyo na uwezo nayo.
 
Nimewaza sana... Wakat flan nawaza nafika mbali sana. Hivi unajisikiaje unapoishi katikakati ya wapuuzi halafu wewe tu ndo una akili? Inaumiza na inatesa sana. Ni mateso ambayo sisi wengine tunakumbana nayo kila siku.

Kia unachoandika watu hawakielewi.hawaelewi ujumbe mzito katika lugha nyepesi unayotumia.unashangaa vijana wengi wa siku hizi wanazaliwa akili wameziacha tumboni mwa mama zao.

Duniani wanakuja bila kitu kichwani....empty kabisa.hawa ndo wanachafua tu mazingira na kufanya taifa lionekane lina watu wengi kumbe asilimia 80 ni magarasa.

Umewah kucheza karata...? Mtu anaweza lamba magarasa mengi sana.ila wewe ukawa na mali au madume machache tu ukamshinda.ndo maisha yalivyo kwa vijana wa kitanzania.

Wengi walishaacha kufikiri.na hawataki kabisa kusumbua bongo zao...hivyo zimeota kutu na kufunikwa na ukungu wa ule uchafu wa kutu ya maji...akili zimefubaa.

Kuna kipindi unajikuta wewe peke yako ndo unawaza na kuwazua...waliokuzunguka wanasikilizia sauti ya tumbo... Wanakula, wanavimbiwa wanaanza kutoa gesi na wengine kuharisha.

Wewe peke yako ndo unaumiza kichwa... Wewe ndo unajiuliza tumetoka wapi,tupo wapi na tunaelekea wapi.imagine. huu si ni mzigo mzito kwa mtu mmoja?unajiangalia umebeba watu zaidi ya milion moja unafikiria kwa niaba yao.... Wao wapo nje wanacheza kombolela.wakisubiria shujaa aje abutue.

Wewe tu ndo unajua kuwa michezo yao ni mauti yao.unawaza huko wanakojificha kuna nyoka,nge,tandu na kila aina ya hatari.wao hawajali hii hali,hawaoni hatari na hawana habari.unatumia akili kufikiri.wao wanatumia matumbo kufikiri.

Wakati mwingine unawaza mbali sana... Hawa miaka ile ya gharika waliponaje? Ilikuaje wakapona?hata wakati wa sodoma na gomora si wangechomwa moto wawe mbolea?unawaza hata hivyo kama wangekuwa mbolea ingeota miti yenye majan na matunda sumu.

Hapo ndo mtu unawaza tu why me? Ni usiku wa kiza kinene... Tunatembea bila taa... Watu wanapapasa...hawaoni vyema.

Huwa siku zote najiuliza.katika kundi kubwa la vichaa. Je kiongozi wao anakuwa na afadhali kidogo au kichaa zaidi? Hali kadhalika katika kundi la wenye akili kiongozi wao anakuwa na akili zaidi au akili hamna kabisa?hapa ndipo ilipo tafakuri.

Hamjui mnavyotutesa sisi wenye akili.hamjui tu.mateso mnayotupa ni makubwa.ni bora ya kutwangwa kwenye kinu kuliko mnavyotufanyia ninyi ndugu zetu.ndiyo...mtabaki kuwa ndugu zetu tu.maana unaweza chagua rafiki lakini huwez chagua ndugu.ndugu ni ndugu yako hata kama ni taahira.

Bora tu nife.... Nimechoka kuwa mimi na wengine wachache ndo tunakuwa tunatumia akili.inachosha sana na kuumiza kichwa.inatesa moyo na akili.

Wasalaam.
Mr. Gudume ata mie niko katika mateso kama yako...
 
Back
Top Bottom