unatesekaje? kwani hujaridhika/hujapendezwa na muonekano wa mtu wakoTunaoteseka ni sisi ambao ma baby zetu ni mabonge na wenye matumbo makubwa
Nikome we andunjewadada saint ivuga ana kibamia original
N pm mm ni mwembaba hautajutaKaribu sana
Hivi una uhakika gani kama huyo ni KE? Utakuja kuchunwa ngozi bure kijana, sawa sawa?Halafu unanikwepa sana
Hachunwi ngozi mtu, labda ukute ndio wewe una ID mbiliHivi una uhakika gani kama huyo ni KE? Utakuja kuchunwa ngozi bure kijana, sawa sawa?
Kilo hazimfanyi mtu kuwa chibonge bali nyama nyama zinakosekana kwa mtu mwembambaKabla ya kucoment mtu mwembamba ni kilo ngapi mwisho na zikidi hapo anakuwa chibonge![]()
Angalia usije kupumuliwa kisogoni tu, watu wanatumia ID fake humu lakini wewe unajiaminisha kwamba huyo KE.Hachunwi ngozi mtu, labda ukute ndio wewe una ID mbili
.Hata pichaaa![]()
haya maneno ni ya mwanaume mwembamba au mwanamke mwembamba?
HahaChi Chi Chibongeeeeeee!!!!! Mie mwanamke aliyekonda kwangu hapana! Nitamshika nini sasa? Mifupa???![]()
Ukweli ni kwamba,Tunawamudu na style zote zinakubali....Namaanisha hatuna vibamia.
Tuombe radhi..Mmejaaliwa kibamia