Vijana wembamba nini siri ya mafanikio

Vijana wembamba nini siri ya mafanikio

Vibonge wapo vizuri
Hawachoshi

Nani kasema Vibonge hawajui kukata mauno
 
Tunaoteseka ni sisi ambao ma baby zetu ni mabonge na wenye matumbo makubwa
 
Namchukia mwanaume mwenye kitambi sijui hii mentality niliitoa wap kwanza namuona kama mlafi,mzembe na vingine vingi ko unaeza kuta namtesa bila kukusudia,matezo yangu yanaweza kuwa ya maneno au matendo(mfano kumfanyisha mazoezi kwa lazima,na kuongelea kitambi mara kwa mara)in short nachukia mtu mnene
 
.
IMG_20190707_192200.jpeg
 
Back
Top Bottom