Naamans.kg
Senior Member
- Jan 28, 2013
- 124
- 17
- Thread starter
- #21
Mwenzangu tupo tumejaa tele hapa jamvini hatujui hata tutaolewa lini mwee!
khaaa.!! Kina dada mmezidi kuchagua chagua xana...na tamaa punguzeni...!
Mwenzangu tupo tumejaa tele hapa jamvini hatujui hata tutaolewa lini mwee!
c ndio hapo fruit,wanaogopa tu hao c unajua mwanamke gharama na wengi wanapenda mteremko!
gharama inahitaji maandalizi pia...kwa kawaida m2 hulipia alicho2mia...c ndio jamani?
hamna lolote maandalizi kwani kuna mtu anajua mungu kampangia lini anapata mshiko?vijana wengi wanataka dezo mwisho wa siku wanaishia kwa wabibi wa kidhunguu babu!
na hilo ndio ttzo la watanzania...wengi ha2na malengo bali tunaishi kwa kubahatisha...huwezi kupanda mazao leo then uvune leo...haiwezekani
umeona eeeee!we kijana umri unaruhusu OA,kama mwanamke anakupenda mtaishi vizuri haijalishi,ndoa hata ya mkeka ni ndoa c lazima mwembwe bana!
Hatufahamu tunafuata niñi kwenye ndoa Labda...
kijana anatakiwa atafute mwanamke anaempenda kwa dhati,anaetanguliza pesa huyo sio wife material kabisaaa!na wapo wengi tu wadada wanaojua kupenda bila kuangalia mfuko wa mtuhaaa.!! Wanawake wa kidigital we thubu2,,,pesa mbele mapenzi nyuma mita 100
Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa wengi...acheni kupekenyua pekenyua.!
Mwenzangu tupo tumejaa tele hapa jamvini hatujui hata tutaolewa lini mwee!
kiufupi ndoa inaongeza heshima ktk jamii...pia ni nusu ya dini..!
Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa wengi...acheni kupekenyua pekenyua.!
Vigezo vya kuoa ndio vigezo gani? Kujitosheleza kimaisha?:confused2:Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa wengi...acheni kupekenyua pekenyua.!
Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa wengi...acheni kupekenyua pekenyua.!
mwenzangu tupo tumejaa tele hapa jamvini hatujui hata tutaolewa lini mwee!
Kwani kuoa lazima?
Kiranga
Nimeona comments zako moja inasema Kwani kuoa ni lazima? na nyingine inasema Kwani kuolewa ni lazima? Kwani wewe ni ME au KE Mbona hueleweki unautetea upande wa waoaji au waolewaji?