Vijana wasio taka kuoa

Vijana wasio taka kuoa

Naamans.kg

Senior Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
124
Reaction score
17
Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa wengi...acheni kupekenyua pekenyua.!
 
Au ndio ule usemi usemao...ikiwa unaweza kununua nyama..haina haja ya kufuga.!
 
if i can get milk easily, why should i keep a cow?
 
Wangeoa kama wasingemuwa wanapata ngono kirahisi. Urahisi ndiyo unawasananisha wasione umuhimu.
 
Kweli kabsaaaa...maana anae bebwa mgongoni hajui umbali wa safar...lkn ndg zangu tumuogopeni ALLAH.
 
sio jukwaaa lake peleka kunakohusika utapewa majibu
 
Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa wengi...acheni kupekenyua pekenyua.!

Wadada wenyewe kidigital zaid, wanapenda bata kwenda mbele....so beta stay alon
 
Yeah NAAMANS!tupo ila waoaji ndio tatizo,sijui wanakwepa majukumu?

hapana cio kukwepa majukum...ikiwa m2 anaweza kutumia tshs 7000,10000..peke yake..so atashindwa vp kuoa?...ttzo tunapenda sana shortcut
 
kama ndama nnapata nikihitaji.......ngozi ipo.maziwa yakutosha...nyama kila kukicha hazikauki buchani...kwanini nifuge ng'ombe
 
kama ndama nnapata nikihitaji.......ngozi ipo.maziwa yakutosha...nyama kila kukicha hazikauki buchani...kwanini nifuge ng'ombe

mmh.!! kwa upeo wako uko sawa..ni sabbu zipi zinazo wafanya w2 kununua magari yao binafsi ikiwa daladala zimejaa kibao barabarani...ni zipi?
 
Back
Top Bottom