Vijana wasiende jeshini....

Vijana wasiende jeshini....

Mimi sijapita jkt lakini nimesikia hawa vijana wanapata fursa ya kujifunza kazi mbalimbali za mikono kitu ambacho kinaweza kuwasaidia kwenye maisha yao na pia wanajifunza mbinu za kujihami
Mafunzo ya kichurachura hapo unajihami vipi? Wenzetu wanafundishwa kutumia technology za Kisasa za kivita sie tunaenda kufundishwa kiruka kichurachura na kuimba
 
Mafunzo ya kichurachura hapo unajihami vipi? Wenzetu wanafundishwa kutumia technology za Kisasa za kivita sie tunaenda kufundishwa kiruka kichurachura na kuimba
Huko kwa wenzenu unafikiri hakuna vichurachura?
 
Mafunzo ya kichurachura hapo unajihami vipi? Wenzetu wanafundishwa kutumia technology za Kisasa za kivita sie tunaenda kufundishwa kiruka kichurachura na kuimba
Kwani kichurachura ni mafunzo au zoezi, wewe wa wapi?

Unafikiri bila hayo mazoezi mafunzo ya porini ya kivita bila ya hayo mazoezi utayaweza? Miguu inahitajika kuwa imara sana, ndiyo maana wanafanya mazoezi.

Kichura, Pushapu zote ni mazoezi tu kuwa imara na si mafunzo. Mafunzo ya kijeshi siyo hayo, na wengi hamuyajui. Bora mkae kimya
 
Back
Top Bottom