Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
- Thread starter
- #61
Sijakataa kama ni kazi kama kazi zingine, kule vijana hawaendi kuajiriwa
Lengo la hizi operations sio kutafuta watu wakujiunga na jeshi lolote, kumbe ulikuwa huna taarifa sahihi unaonaona tu.
.
Yes kila mwananchi wa TZ anapaswa kiwa na mafunzo kidogo ya kijeshi serikali ilifanya makosa sana kuondoa hiki kitu miaka ya nyuma.
Usiwe mbishi kitu kama hukijui
Narudia tena usiwe mbishi kitu kama hukijui.
.
Mbinu za kivita hazijawahi kubadilika na hazitobadilika kinachobadilika ni intelijensia tu nakupa mifano
Kuna vitu vinaitwa "BAGENDA" na "OBSTACLE CROSSING" hizi zote ni njia za kukabiliana na adui (mbinu za vita)
Zimeanza kufundishwa baba wa babu wa babu yako na babu hawajafikiriwa kuzaliwa zinafundishwa hadi leo.
.
Umezungumzia ndege vita kuwa more sophisticated hahaha! Unachekesha sana mbinu zinazotumika kujigicha au kupambana na ndege vita ni zilezile sitaki kueleza mengi.
.
Nakupa kamfano kadogo ndege yoyote ya kijeshi ambayo inaonekana kwenye rada uwezo wa kuilipua kutokea ardhini ni mkubwa kwa mbinu zilezile za miaka ya Hitler ila ambazo hazionekani au zenye kasi zaidi zitahitaji mbinu zilezile ila intelijensia ya hali ya juu kwa kujua inatembea kwa speed gani iwapo angani inauwezo wa kupaa hadi urefu gani mnarejea na uwezo wa kombora lenu n.k
.
Intelijensia tu ndio inayibadilika ndio maana mwanajeshi wa TZ anao uwezo wa kwenda Russia kujifunza intelijensia yao ya kivita na sio mbinu
1.,jeshi ni jeshi..ni kazi kama nyingine thibitisha hili si kweli….
2.Utasemaje intelijensia imebadilika na mbinu hazijabadilika?kwa mtazamo wangu hivi vinaenda pamoja,huwezi sasa ukatumia nguvu nyingi kumpiga adui..sababu sasa kuna vyombo vizuri zaidi vinavyoweza kufanya kazi hio...
3.Sijapinga wanajeshi kupata mafunzo,nimepinga sisi wananchi kugeuzwa wanajeshi
4.Sijajua uko tulikotohoa hii system,ingependeza kama ungetuambia ni nchi gani zinazofanya haya na wamefaidika vipi...