Vijana wanatapeliwa sana mitandaoni

Vijana wanatapeliwa sana mitandaoni

Dah...the grid alinipatia msupu wa kiarabu...Zeyana upo wapi mamaa...mkuu umenikumbusha mbali
Mkuu ulemtandao bana pipo zilikuwa bado ni nyumbu, walikuwa hawaja janjaruka saaanaa. Halafu ilikuwa ni Arusha, Dar, mbeya ndio pipo wengi walikuwa humo. Hicho kipindi nilipiga mitama sana hii jinsi ya kike.
Wasasa hivi mmmnnh
 
Unatupigia kelele tumepumzika, mi nkajua ushatuma hata hela kumbe hola, sasa we huwa unachat nao wa nini? Hebu naomba elf 20 hapo kama ipo karibu
 
Vijana wa mtandaoni, hasa JF tuko thirsty hatari. Mtu anapagawa tu na avatar, dah!
Ni hatari sana. Halafu ukiona avatar inavutia, uwe makini. Mkitupiana picha za ukweli itabidi tu uwe gentleman, usifie na kusema maneno matamu, lakini uhalisia wake ni hakuna. Lakini hayo mashauzi sasa...

Hii kitu ya pm, hata kama ni kwa urafiki wa "kalamu" tu, nimeacha. Kuna kiazi kimoja hicho, if I ever laid my hand on her....dah! Sijawahi kuchat na kiazi kama kile asee.
 
Ni hatari sana. Halafu ukiona avatar inavutia, uwe makini. Mkitupiana picha za ukweli itabidi tu uwe gentleman, usifie na kusema maneno matamu, lakini uhalisia wake ni hakuna. Lakini hayo mashauzi sasa...

Hii kitu ya pm, hata kama ni kwa urafiki wa "kalamu" tu, nimeacha. Kuna kiazi kimoja hicho, if I ever laid my hand on her....dah! Sijawahi kuchat na kiazi kama kile asee.
Hahaha Mkuu sipati picha wakati unamfikiria kumbe kiazi tu.
 
Unatupigia kelele tumepumzika, mi nkajua ushatuma hata hela kumbe hola, sasa we huwa unachat nao wa nini? Hebu naomba elf 20 hapo kama ipo karibu
Ata 150 ya kifurushi cha msg situmi ng'o. Unaweza kukuta ni lijamaa lenye midevu linajiita Evelyn Salt
 
Hahaha Mkuu sipati picha wakati unamfikiria kumbe kiazi tu.
Hujaelewa kiongozi, nilipoona comment ya paulo ndio nikakumbuka. Kiazi ni kiazi tu, kiwe mbatata au kitamu, kilinitia hasira balaa.
 
Mimj nilksha kutana nao kama mara tatu. Yaani wadada wa design hiyo kila siku hupost picha za kuwatega wanaume. Na hata siku moja hapost picha akiwa na mtu mwingine au kushare picha za mtu. Kila siku ni picha zile za mitego.Na huwa na account zaidi ya moja. Account yenye jina lake halisi ambayo hutumia kwa ndugu na jamaa, na account yenye jina fake ambayo hutymia kwa kazi hii ya utapeli.

Kuna mmoja alinisumbua sana sana...nikaamua kumtumia 30, akashukuru. Baada ya muda akaniambia anaona mimi ni mtu mwema kama si maindi aje Dar anitembelee maana yuko kigoma. Akaomba nimtumie nauli. Nikamwambia nitamtumia. Badaye nikamwambia nitakukatia ticket huku huku, akakataa akasema nimtumie hela akate mwenyewe. Nikiwa nimesha ufaham mchezo wote nikafanya booking ya ndege nikamtumia nikimwambia ni ticket. Lakini nilikuwa sijailipia. Dah alivyoona nimekata ticket badala ya kutuma pesa aka ni block na mchezo ukaishia hapo.
 
Mimj nilksha kutana nao kama mara tatu. Yaani wadada wa design hiyo kila siku hupost picha za kuwatega wanaume. Na hata siku moja hapost picha akiwa na mtu mwingine au kushare picha za mtu. Kila siku ni picha zile za mitego.Na huwa na account zaidi ya moja. Account yenye jina lake halisi ambayo hutumia kwa ndugu na jamaa, na account yenye jina fake ambayo hutymia kwa kazi hii ya utapeli.

Kuna mmoja alinisumbua sana sana...nikaamua kumtumia 30, akashukuru. Baada ya muda akaniambia anaona mimi ni mtu mwema kama si maindi aje Dar anitembelee maana yuko kigoma. Akaomba nimtumie nauli. Nikamwambia nitamtumia. Badaye nikamwambia nitakukatia ticket huku huku, akakataa akasema nimtumie hela akate mwenyewe. Nikiwa nimesha ufaham mchezo wote nikafanya booking ya ndege nikamtumia nikimwambia ni ticket. Lakini nilikuwa sijailipia. Dah alivyoona nimekata ticket badala ya kutuma pesa aka ni block na mchezo ukaishia hapo.
Dah pole aisee ila ulimuweza unaweza kukuta alikuwa hapa hapa Dar
 
Mimj nilksha kutana nao kama mara tatu. Yaani wadada wa design hiyo kila siku hupost picha za kuwatega wanaume. Na hata siku moja hapost picha akiwa na mtu mwingine au kushare picha za mtu. Kila siku ni picha zile za mitego.Na huwa na account zaidi ya moja. Account yenye jina lake halisi ambayo hutumia kwa ndugu na jamaa, na account yenye jina fake ambayo hutymia kwa kazi hii ya utapeli.

Kuna mmoja alinisumbua sana sana...nikaamua kumtumia 30, akashukuru. Baada ya muda akaniambia anaona mimi ni mtu mwema kama si maindi aje Dar anitembelee maana yuko kigoma. Akaomba nimtumie nauli. Nikamwambia nitamtumia. Badaye nikamwambia nitakukatia ticket huku huku, akakataa akasema nimtumie hela akate mwenyewe. Nikiwa nimesha ufaham mchezo wote nikafanya booking ya ndege nikamtumia nikimwambia ni ticket. Lakini nilikuwa sijailipia. Dah alivyoona nimekata ticket badala ya kutuma pesa aka ni block na mchezo ukaishia hapo.
Huu mcehezo sasa alichezewa jamaa yangu yupo kigoma nae ameijua juzi juzi tu hii mitandao kalizwa mara mbili na dem anadai yupo moro. Kila akituma nauli dem anatafuta sababu.
Ndio nikamzindua kutoka usingizini.
 
Ni hatari sana. Halafu ukiona avatar inavutia, uwe makini. Mkitupiana picha za ukweli itabidi tu uwe gentleman, usifie na kusema maneno matamu, lakini uhalisia wake ni hakuna. Lakini hayo mashauzi sasa...

Hii kitu ya pm, hata kama ni kwa urafiki wa "kalamu" tu, nimeacha. Kuna kiazi kimoja hicho, if I ever laid my hand on her....dah! Sijawahi kuchat na kiazi kama kile asee.

Hahaha. Hatari sana.
 
Mimj nilksha kutana nao kama mara tatu. Yaani wadada wa design hiyo kila siku hupost picha za kuwatega wanaume. Na hata siku moja hapost picha akiwa na mtu mwingine au kushare picha za mtu. Kila siku ni picha zile za mitego.Na huwa na account zaidi ya moja. Account yenye jina lake halisi ambayo hutumia kwa ndugu na jamaa, na account yenye jina fake ambayo hutymia kwa kazi hii ya utapeli.

Kuna mmoja alinisumbua sana sana...nikaamua kumtumia 30, akashukuru. Baada ya muda akaniambia anaona mimi ni mtu mwema kama si maindi aje Dar anitembelee maana yuko kigoma. Akaomba nimtumie nauli. Nikamwambia nitamtumia. Badaye nikamwambia nitakukatia ticket huku huku, akakataa akasema nimtumie hela akate mwenyewe. Nikiwa nimesha ufaham mchezo wote nikafanya booking ya ndege nikamtumia nikimwambia ni ticket. Lakini nilikuwa sijailipia. Dah alivyoona nimekata ticket badala ya kutuma pesa aka ni block na mchezo ukaishia hapo.
Hahahaha ulimuweza kwa kweli
 
Huu mcehezo sasa alichezewa jamaa yangu yupo kigoma nae ameijua juzi juzi tu hii mitandao kalizwa mara mbili na dem anadai yupo moro. Kila akituma nauli dem anatafuta sababu.
Ndio nikamzindua kutoka usingizini.
Kwanini alijiua?
 
Haaaaa, nashukuru kwamba wote wanaojaribu kutaka fedha huwa nawazidi ujanja.
 
Enyi marafiki zangu wote mliopo PM na mimi. Naombeni 50,000 each of you! Huu sio utapeli..maana nimeweka hadharani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom