SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Mkuu ulemtandao bana pipo zilikuwa bado ni nyumbu, walikuwa hawaja janjaruka saaanaa. Halafu ilikuwa ni Arusha, Dar, mbeya ndio pipo wengi walikuwa humo. Hicho kipindi nilipiga mitama sana hii jinsi ya kike.Dah...the grid alinipatia msupu wa kiarabu...Zeyana upo wapi mamaa...mkuu umenikumbusha mbali
Wasasa hivi mmmnnh