Wapendwa natafta vijana wanaojua kuimba lakini wanaojua kwamba sauti walizopewa na mungu ni kwaajili ya kumuimbia yeye aliyowapa na si vinginevyo, vijana hao wawe waaminifu kwa mungu pia tutaunda kwaya kwa ajili ya kumuimbia mungu kama huwa unapenda kumuimbia mungu madhabahuni kwake na hujapata nafac please nipm mungu akubariki sana, mnisamehe bure nimeweka huku coz mi sio member wa jukwaa la dini na iman asanten